Ali Kiba ajifunze kwa domo, wala asione aibu
moja segment niliyoipenda ni pamoja na hiyo ila kuhusu yule demu sijajuaChief vp kuhusu yule dem alimpandisha pale akacheza nae mpaka kwenye bed, aliandaliwa au ilitokea tu? Na kuna info zozote unazojua kumhusu Sada diamond.
Ali Kiba ajifunze kwa domo, wala asione aibu
Alafu kapiga show masaa matano kwa energy ile ile aliyoanza nayo sijaona msanii wa hapa bongo amewahi kufikisha hata masaa manne wengi wao wanafikisha masaa matatu tuAli Kiba ajifunze kwa domo, wala asione aibu
Kwanza kajaza uwanja mzima lkn kuhusu kuweka picha me siwezagi labda mwambie mwenye ujuzi huoka picha vp
In no kama uko kahama iwe nyahanga,nyasubi,mungula,zongomela,kinaga,mama farida,bija,majengo,fantom,au Manta mtafute bana kishwa umwage humu details zake maana ule ushirikiano alo onesha si wa nchi hii. Aidhani kama yule ni wa kahama nayoijua. Ulowa kabisa au zongomela afanye vitu vile? Katule bhabhamoja segment niliyoipenda ni pamoja na hiyo ila kuhusu yule demu sijajua
Alikiba kujifunza anaweza ila hapendag tu kujionyesha kuwa kajifunza.Ali Kiba ajifunze kwa domo, wala asione aibu
Ali Kiba ajifunze kwa domo, wala asione aibu
HaaahaaLakini pia Mond aliperform nyimbo ya Alikiba KADOGO
Wakikujibu niite Mkuu.Lakini pia Mond aliperform nyimbo ya Alikiba KADOGO
Hakuna kitu km icho diamond sio nuh mziwanda useme vitu vyake visionekane ingekuwa hivyo tungeona watu wengi na ingetrendingLakini pia Mond aliperform nyimbo ya Alikiba KADOGO