Show ya diamond na neyo UK ilikuwa kiki tu aka hewa

Sina hakika kama Diamond bado atakuwepo au vipi lakini ile show haikuwa kiki! Umeona kimya kwa sababu imesogezwa mbele hadi September!!!
Bora umweleze tu maana kuna mijitu inawivu wa Maendeleo
 
mfamaji haishi kutapa tapa.

jamaa mwisho wake umefika vibaya mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…