RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,432
Alichokisema Diamond mwenyewe kipo hapa. Si mbaya ukikisoma kama Hutojali
http://teflon-tanzania.blogspot.com/2014/05/show-ya-diamond-platnumz-huko-new-york.html?m=1
http://teflon-tanzania.blogspot.com/2014/05/show-ya-diamond-platnumz-huko-new-york.html?m=1
Hizi ni habari zilizoenea na zimethibitishwa na mmoja wa ma Promoter leo hii kwamba msanii Diamond Platnumz amegoma kwenda kufanya show yake kesho nchini UK katika mji wa NORTHAMPTON. Kisa waandaaji awajamkatia ticket ya ndege daraja la first class.
Kwa hiyo show imekuwa cancelled, watu wengi wako disappointed na baadhi ya watu waliokata ticket wameshaanza kurudishiwa pesa zao. Pole sana Dj Rule ambaye wewe uwa umekuwa ukimleta mara zote alizokuja kutumbuiza huku hata week zilizopita ulimleta.
Labda dogo ameshakuwa internation Super Star na Tuzo zake za Kili 7, akipata ya BET naona ataomba Private Jet.