Mkuu, yeye ameandika hivi, “Sijabahatika kupewa sababu ni nini”.Mkuu, ungemuuliza Harmonize mwenyewe bila shaka angekueleza sababu za show yake kuzuiwa. Au RPC anaweza kuwa na majibu. Namba zake zipo kwenye tovuti ya jeshi la polisi. Kama una tetesi zingine lete [emoji2099][emoji2099]
mbona ume jishtukia boya ww ndo hii mijitu nilikua naisemea sasaKuna mijitu mijinga itafrahia show kuzuiliwa
Jamaa boys Sanambona ume jishtukia boya ww ndo hii mijitu nilikua naisemea sasa
hujua ata njia note taking abbreviations is allowed itakuwa Instagram?From my Hart? Alikuwa anamaanisha nini, Kevin Hart au?
Kuna mijitu mijinga itafrahia show kuzuiliwa
hujua ata njia note taking abbreviations is allowed itakuwa Instagram?
Sent using Jamii Forums mobile app