Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
VideoKaingia uwanjani kwa kamba kijeshi jeshi,very risk but ndo vionjo vyenyewe hivyo.....show bado inaendelea japokua hadi sasa bado hajaleta amsha amsha tulizotarajia.
😁😁😁😁 daah
mbona kawaida tu,play back mwanzo mwishoDogo hana weza sio domo kazi kukimbia si ajiunge na mbio za olimpiki
Ukizeeka unaweza kuwa mchawimbona kawaida tu,play back mwanzo mwisho
nitakua mchawi kwa mara ya tanoUkizeeka unaweza kuwa mchawi
Hakuna jipya kuiga tu awe mbunifuView attachment 1553496Kaingia uwanjani kwa kamba kijeshi jeshi,toka juu ya paa la uwanja hadi kwenye pitch very risk but ndo vionjo vyenyewe hivyo.....show bado inaendelea japokua hadi sasa bado hajaleta amsha amsha tulizotarajia.View attachment 1553432
Hahaha Manara naye atulie aache vijana wafanye biashara.Hakuna jipya kuiga tu awe mbunifuView attachment 1553496View attachment 1553497