Anavuna alichopanda mwenzake mond kafanya show Uganda mwezi uliopita kajaza Sana na kiingilio Cha chini kilikuwa ni elfu 50 VIP ni mil 1.Ali kiba nampenda ila anachoniuzi kwake ni mvivu,ana dharau,kujisikia alafu pia hajui kujiongeza so why mziki wake hukui kwenda level za juu asipojiangalia vizuri atabaki kuwa wa hapa hapa bongo.
Anavuna alichopanda mwenzake mond kafanya show Uganda mwezi uliopita kajaza Sana na kiingilio Cha chini kilikuwa ni elfu 50 VIP ni mil 1.Ali kiba nampenda ila anachoniuzi kwake ni mvivu,ana dharau,kujisikia alafu pia hajui kujiongeza so why mziki wake hukui kwenda level za juu asipojiangalia vizuri atabaki kuwa wa hapa hapa bongo.
After showHizi picha ni before au after the show?
Na siku hizi sijui hata anaimba sijui vitu gani.
Naishiaga tu kusikia yoooo
Acha matusi Kakutia peke yako, sijui kakupiga vingapiHakika Alikiba anapswa kujisalimishwa kwa Mwaposya...
Hii hali itaendelea mpaka atakapo acha kibri na kuanza kufanya mziki kama biashara na kuacha kudharau mashabiki!
Hakika Alikiba katutia aibu watanzania na kwa mara ya kwanza nimejutia kuwa mtanzania..
Kwa wasanii wa tanzania hata angekuwa hajatoa wimbo miaka 20 kwakweli asingeliweza kupata mashabiki wachache hivyo yani bora angekwenda Kingwendu kufanya hiyo show na ule wimbo wimbo wake huyu “demu mapepe “ angepata watu wengi.
Aibu sana hii
Acha matusi Kakutia peke yako, sijui kakupiga vingapi