Wewe hebu kuwa na akili japo za muda tu, au HUJUI KUWA HATA BAISKELI NI USAFIRI, LAKINI HAUFANANI NA GARI.....??Live band na umiliki wa band hata chidi benzi alikua nayo so hamna mapinduzi hapo
Upo sahihi lakini hana cha kupoteza kwa sababu, mathalani ikiwa playback alikuwa anachaji $5000, si kwamba na Live Band atakuwa ana-charge $5000... hapana! From the beginning, anakuambia kabisa kwamba anapiga Live kwahiyo ukimtaka kwenye live performance hesabu gharama ni pamoja na kuisafirisha na kuigharamia band na vyombo vyao!Mmmh live band nahisi ni gharama sana je atamudu iyo gharama au unafanya ivo ili kukata kilimilimi cha wanaomponda kuwa hawez live band
Apost anaimba bas tuenjoy kitu cha live band
Hii tarehe alikuwa afanye show nairobi ata kwenye ratiba ilikuwa hivyo lakini hawa jamaa wa mayotte wakapandisha dau karibia mara mbili ya pesa atakayolipwa kenya ikabidi akubaliWale wa MAYOTE wajiandae,mnyama anakuja na timu nzima ya WCB na live band.Sasa ni kuivuruga Afrika.
Halafu hii ya yeye kwenda huko MAYOTE nimeipenda sana kwani ni kujitafutia mashabiki wengi zaidi kuliko kila siku ni East Africa tu.Hii tarehe alikuwa afanye show nairobi ata kwenye ratiba ilikuwa hivyo lakini hawa jamaa wa mayotte wakapandisha dau karibia mara mbili ya pesa atakayolipwa kenya ikabidi akubali
mayote ni wapiHalafu hii ya yeye kwenda huko MAYOTE nimeipenda sana kwani ni kujitafutia mashabiki wengi zaidi kuliko kila siku ni East Africa tu.
Visiwa vya Comorro bila shaka.mayote ni wapi
ni huko karibu na comoro wanaingea kifaransa lugha yaomayote ni wapi
anhaaa kumbeeni huko karibu na comoro wanaingea kifaransa lugha yao
Unadhani ile ilikuwa playback?,
Live band somchezo aiseeee[emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Akiiva vizuri atakuwa anapost clips za video usijali kabisa