Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Wewe huyo?Toba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nipo rafu vibaya mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huyo?Toba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nipo rafu vibaya mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kumbe Saint Anne ulikuwa mwanafunzi wa mke wangu? ..
Am proud of you my dear Hannah
Na pendo naliongeza. [emoji173][emoji173]
Na mimi naomba nitoke basi hapo kwa mangi kidogo nikapate bia mbili tatu sitalewa kama juzi mama watoto ..Ndio babe, mimi ndio nimemfundisha kuumba mwandiko.
Thank you hun , I love you.
Siku ukiniona utacheka[emoji23][emoji23]Wewe huyo?
NdiyoHahahaha kumbe Saint Anne ulikuwa mwanafunzi wa mke wangu? ..
Am proud of you my dear Hannah
Na pendo naliongeza. [emoji173][emoji173]
Hii sio kweliInaonekana speed yako ya kuandika ni ndogo sana. Na ukiongeza speed huenda muandiko ukabadilika naangalia herufi zako zilivyo na madoido. Mfano kana una maandishi mengi kama daftari za notes tuma tuone.
🤣🤣🤣🤣 Kuna watu wanaandika!loh!
Wa kwako uko wapi Jojo? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna watu wanaandika!loh!
Hahahh halafu jamaa anajiita penadurOvarian Cyst
For laparatomy
Rx
1. Inj Diclofenac
2. Tab Ciprofloxacin
3. Tab PCM
Kuna mtu amesema eti huo mwandiko umemkumbusha mbali sana,eti kama wa bibi yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna watu wanaandika!loh!
Dah bora umenisaidia[emoji23][emoji23]Hii sio kweli
Mfano mimi mwandiko wangu unaonekana kama ni wa kuremba sana,lakini huwa siandiki taratibu....tena nikiandika haraka ndio naonekana kama nimeremba zaidi
Shukrani mkuu [emoji120]Na mi nimejaribu ila Saint umetishaView attachment 1858490
Mkuu tuunde chama chetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1857112
Kuna mtu amesema eti huo mwandiko umemkumbusha mbali sana,eti kama wa bibi yake[emoji1787]
Haki nimelala jana nacheka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikusomee?Mwandiko wa doctor inabidi uwe kama huu [emoji116][emoji116]View attachment 1858512