Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Yaani [emoji23]Nimeona hiyo comment nimecheka kinyama![emoji1787]
Kikubwa uhai wa mgonjwa[emoji1787]Mwandiko wa doctor inabidi uwe kama huu [emoji116][emoji116]View attachment 1858512
Daah umenikumbusha mbali,,, huyo dogo alipataga tuzo ya kuwa na mwandiko mzuri
Moja kati ya nyimbo ninazozikubali,,,, niliusikia mara moja tu na kuuweka kwenye playlist haraka sana[emoji16][emoji16]View attachment 1857098Mara nyingi mnoo hata sasa hivi nausikiliza[emoji1787]
Maneno yapo nusu nikajua ni cha P.EAnatomy
Kinaelezea structure ya mwili wa binadamu na yote yaliyomo
Uwahi kurudi lasivyo nunua fire extinguisher kabisa babe.Na mimi naomba nitoke basi hapo kwa mangi kidogo nikapate bia mbili tatu sitalewa kama juzi mama watoto ..
[emoji1][emoji1][emoji1]
Haya nayo ni maandishi?Mwandiko wa doctor inabidi uwe kama huu [emoji116][emoji116]View attachment 1858512
[emoji23]
Una maanisha nini ?[emoji23]
Mie kama ostadhati,nimecheka tu[emoji23]Una maanisha nini ?
Ostadhati na Ustadh,chemical reaction yake ni matata sana.Mie kama ostadhati,nimecheka tu[emoji23]
Ostadhat/ustadhat???Ostadhati na Ustadh,chemical reaction yake ni matata sana.
Kiasili kwenye Kiarabu hakuna "O". Ukiandika Ostadhat kwa sisi wabantu tunaelewa umemaanisha msomi wa kike kadhalika Ustadhati ni sawa kimaana.Ostadhat/ustadhat???