Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #461
Niandikie kidogo hapa kimemo babyBabe😍
Kusema ukweli bata amepita hapa 😂😂😂Kwa mwandiko wangu ulivyo wa bata sijafanya unafki wa aina yoyote, unafanana na huo hapo kwa mbali tena huo mzuri kidogoView attachment 3239031
duh, yaishe.Kalio kubwa lina hasara yake, kuliosha hadi ulisugue na dodoki.
una mwandiko mzuri sana 😎😍
Naona dada yako kanipiga bloku kwenye no yangu ya Yas 😎duh, yaishe.
Lazima utakua bonge moja la pisi kali kalio
Kisa mwandiko?Lazima utakua bonge moja la pisi kali kalio
Mmmh🥲una mwandiko mzuri sana 😎😍
JiheshimuLazima utakua bonge moja la pisi kali kalio
Uliandika na rula?
Kuna tatizo mkuu?Jiheshimu
😎Kuna yule dada mmoja hivi wa kariakoo ana mwandiko mbaya sanaMmmh🥲
Yes pisi fulani standard iv zinakuwaga na miandiko hiyo.Kisa mwandiko?
Kitambo sana bosi hivi upo?Kuna tatizo mkuu?
Dah! Tuseme InshaAllahYes pisi fulani standard iv zinakuwaga na miandiko hiyo.
AlhamdullilahDah! Tuseme InshaAllah
Nipo mkuu ubize tu za kigamboni ya italy?Kitambo sana bosi hivi upo?
Eti kigamboni ya Italy!🤣 Vincenzo Jr sijui alifikiria nini kutudanganya aiseeNipo mkuu ubize tu za kigamboni ya italy?