Show za Diamond na Ali Kiba zilivyokuwa huko Mombasa

Show za Diamond na Ali Kiba zilivyokuwa huko Mombasa

aibambi kwako na demu wako huko gheto kwako ila akiimba kwenye show zake watu wanaruka kama hakijatokea kitu
haahahah demu ndio vitu gani?
siishi gheto kijana

hata hivyo mzaramo yake mipasho sishangai endelea na mipasho huku dai akipasua anga....
 
aibambi kwako na demu wako huko gheto kwako ila akiimba kwenye show zake watu wanaruka kama hakijatokea kitu
shukuru kiba kapewa kiki kwa mgongo wa dai coz watu walijazana wakijua wanaenda kwenye shoo ya dai mwenzie anapenda kitonga kadandia kadamnasi ya dai.
tchao.
 
Alikiba ninheshauri aache muziki akaanze kuomba kazi tu tume ya ajira.....mziki amuachie dai
 
Siku hizi wanaikimbia dar live ? Au ukata umetuzidi ? Naona wote holiday wamekimbilia mombasa
 
haahahah demu ndio vitu gani?
siishi gheto kijana

hata hivyo mzaramo yake mipasho sishangai endelea na mipasho huku dai akipasua anga....
Apasue anga amekuwa Ndege?!
 
shukuru kiba kapewa kiki kwa mgongo wa dai coz watu walijazana wakijua wanaenda kwenye shoo ya dai mwenzie anapenda kitonga kadandia kadamnasi ya dai.
tchao.
Hivi unajua kwamba ile show haikuwa ya Dai?!na yeye alikuwa msanii mualikwa tu au unadhani show ilikuwa ni maalumu kwa kipenzi chako Dai na hakukuwa na shughuli nyingine yoyote pale uwanjani?!
 
Alikiba ninheshauri aache muziki akaanze kuomba kazi tu tume ya ajira.....mziki amuachie dai
Muda mwingine tumia kichwa kufikiria sio kuweka mitindo ya nywele...Mshauri kipenzi chako Diamond akafanye mziki wake Mars huko atakuwa peke yake
 
Yani nashangaa sana watu wanapo mfananisha mondi na kiba...ukianza kuchambua character moja mpk nyingne na uhakika mondi atakuw na asilimia nyng.,kw ufupi kiba nilimuelew kitambo hicho anaimba(makimuga)..ila kw sasa ni new generation yenye hard work na creativity.
 
Hivi unajua kwamba ile show haikuwa ya Dai?!na yeye alikuwa msanii mualikwa tu au unadhani show ilikuwa ni maalumu kwa kipenzi chako Dai na hakukuwa na shughuli nyingine yoyote pale uwanjani?!
Kiba unapenda kitonga ndo asili yake kuteleza sasa yaliyomkuta Mombasa
 
Kiba unapenda kitonga ndo asili yake kuteleza sasa yaliyomkuta Mombasa
akili zenu na akili za Meneje wenu roporopo zote zinafanana...maana Meneja wetu aliulizwa maswali kama hayo badala ya kujibu akashusha povu ndoo mbili
 
Muda mwingine tumia kichwa kufikiria sio kuweka mitindo ya nywele...Mshauri kipenzi chako Diamond akafanye mziki wake Mars huko atakuwa peke yake
Jifute povu kwanza maana naona team kkoo mmeguswa kwenye mtima basi mshajaa sumu.......mdogo mdogo
 
Jifute povu kwanza maana naona team kkoo mmeguswa kwenye mtima basi mshajaa sumu.......mdogo mdogo
Povu alishusha meneja wenu baada ya kufanyiwa sapraizi siku nzima alinuna na kushinda kwenye mitandao akilalama kuwa mmeonewa
 
Ali ana saut na muonekano lakin sio creative.. platnum ni creative na music industry inataka creativity so always platnum atadominate game bse he come with new swag.. we fans like it
 
Back
Top Bottom