Show za Diamond zaendelea kufanya vibaya huko ugaibuni (USA)

Show za Diamond zaendelea kufanya vibaya huko ugaibuni (USA)

Ndo wabongo tulivyo..ukisema ukweli unaonekana mchawi,ila there is something wrong kwa huyu jamaa,na inabidi awe makini..saivi hata nomination kubwa kubwa hasikiki tena..na nyimbo zake nyingi saivi ni matusi matusi tu ya kijinga
hahaha YAAANI ..ETI NDIZI Anaing'ata kama ngedere " .... upuuuzi mtupu ""..
 
Kwani hiyo show kafanya nani? Nakafanya kwenye venue gani?

Yaani kweli unachekesha.. unaniuliza nikujibu utasubiri miaka milioni
Tumia data yako ukayasome utajiju.. na ujue kutofautisha mengi katika hayo..
 
Bora hata yy kafika state mchawi mkubwa ukute hats Kenya hujawahi fika...tangu mnaongea hajawahi shuka
 
Kwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.

Itakuwa Lucifer anataka kafara nyingine..
 
Kwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.
HAbari kama hii bila kapiocha haieleweki
 
hebu tuone nyimbo za Diamond za mwaka huu.

Kwangwaru Feautured by Harmonize.

African Beauty.....

Iyenna....

Baila...... ya juzi juzi hii..

kaangalie viewers Youtube hapo... kwangwaru ndio national anthem iachwe kabisa
 
Mkuu nashukuru yale maelekezo uliyonipa jana kuhusu computer yamenisaidia. Mungu akubariki sana
Poa but hata uzii wenyewe nishasahau. Na sikumbuki lilikuwa tatizo gani.

But asante kwa kukumbuka fadhila.
 
Kwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.
Maneno ya Mujini sasa hivi Mademu wote wanamtaka Mbape! Messi Ronaldo , Diamond Tupa kule
 
Kwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.
weka picha basi
 
Back
Top Bottom