Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kazi yake Mola Haina makosa... Tumuombee safari njema na sir tuko nyuma yakeYaani halafu ghafla tu mwana hajaumwa kabisa bora angeumwa tukauguza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi yake Mola Haina makosa... Tumuombee safari njema na sir tuko nyuma yakeYaani halafu ghafla tu mwana hajaumwa kabisa bora angeumwa tukauguza
AmeenKazi yake Mola Haina makosa... Tumuombee safari njema na sir tuko nyuma yake
Na wewe ni kitu kipya wasikuharibu tu na hukuKitu kipyaaaa sasa waje kuharibu na huku
Sikubali kuharibiwa kabisa mkuuNa wewe ni kitu kipya wasikuharibu tu na huku
Avatar hio HUONI tajiri?Jana nilikutana na dada mmoja pic Kali sana,sijui kwa Nini nikasema huyu ni lazima ni Missy Gf😅😅😅
Sasa huyo ni mwanamke au me??Vyakula
Vinywaji
Viwanja
Viwalo
Vyovyote, popote tupiamo[emoji173][emoji173][emoji173]View attachment 2858106
Sent using Jamii Forums mobile app
Unateseka ukiwa wapi my wangu?Huu uzi utaharibika siyo muda yatajaa yale matoto ya hovyo yanayopenda kuitana sijui cuzzo, my wiii halafu hayatumi chochote zaidi zaidi ya kujadili maisha yao binafsi 24/7/365. Yamevuruga zile nyuzi za Selfika, Umevaa nini zimekuwa kama kijiwe cha kahawa. Hovyo kabisa....
SawaSikubali kuharibiwa kabisa mkuu
Nimeona tajiri .Avatar hio HUONI tajiri?