achengula
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 369
- 62
Shubiri mwitu (Aloe au Aloe vera) ni mmea ambao umekuwa ukitumika kwa kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu na mifugo. Mmea huu unatumika sasa kutengeneza sabuni, dawa za binadamu na wanyama na mambo mengine mengi. Na kwa sababu ya madawa mengi ya kiwandani kushindwa kutibu baadhi ya magonjwa kwa kuwa wadudu wametengeza ukinzani dhidi ya dawa hizo, ipo haja kubwa ya kuweka umuhimu kwenye madawa ya asili yatokanayo na mimea. Mmea wa shubiri mwitu unauwezo wa kutibu magonjwa ya kuku hasa coccidiosis na kwa kiasi fulani Newcastle disease.
Endelea kusoma hapa SEKTA YA MIFUGO TANZANIA ili ujue namna ya kuutumia kutibu magonjwa ya kuku.
Endelea kusoma hapa SEKTA YA MIFUGO TANZANIA ili ujue namna ya kuutumia kutibu magonjwa ya kuku.