Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 410
Huyu jamaa alisha kuja hapa na habari za ushoga,....
leo kawekwa ndani na jimama ohooooo,...
waulize wenzako wa mombasa wanavo fanywa + kuchapwa na majimama yao.
Link tafadhali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa alisha kuja hapa na habari za ushoga,....
leo kawekwa ndani na jimama ohooooo,...
waulize wenzako wa mombasa wanavo fanywa + kuchapwa na majimama yao.
Huyu jamaa alisha kuja hapa na habari za ushoga,....
leo kawekwa ndani na jimama ohooooo,...
waulize wenzako wa mombasa wanavo fanywa + kuchapwa na majimama yao.
Wabongo mna ushauri wenye matege kweli
Wabongo mna ushauri wenye matege kweli
Mambo Vipi Wakuu?mwenzenu kuna mdada naishi nae kanizidi kama miaka 7 tatizo lake kubwa ana wivu kinoma na kutokana na wivu wake hataki hata nifanye kazi amefungua ofisi maeneo ya magomeni na anataka niwe msimamizi na niachane na misheni zangu naombeni ushauri wakuu.
Kila kitu ni maelewano na kupendana, kama huyo shugamami wako mnaelewana vizuri na kuaminiana, sijaona ubaya wake kukufungulia ofisi, labda kaona hizo mishemishe zako hazilipi?
Usiogope kila lisemwalo, kila mwanamke ana tabia zake tofauti uenda mpenzi wako akawa ni mtu mzuri tu!
Ila na yeye asije kuomba ushauri JF kwamba kuna ka-serengeti boy nakafungulia duka, sasa wadau mnishauri nikafungulie au vipi, maana kanaweza kupata saizi yake kakanimwaga?
Mambo Vipi Wakuu?mwenzenu kuna mdada naishi nae kanizidi kama miaka 7 tatizo lake kubwa ana wivu kinoma na kutokana na wivu wake hataki hata nifanye kazi amefungua ofisi maeneo ya magomeni na anataka niwe msimamizi na niachane na misheni zangu naombeni ushauri wakuu.