Uchaguzi 2020 Shughuli imeanza CCM, Mgombea wa CCM Arumeru achukua fomu za uteuzi

Uchaguzi 2020 Shughuli imeanza CCM, Mgombea wa CCM Arumeru achukua fomu za uteuzi

Kamtambo kadoogo ka CCM kamewashwa.manyumbu wa ufipa wanaanza kuweweseka.bado mitambo mikubwa haijawashwa.Chadema watakufa kwa jinsi rohozitakavyowauma.
 
Imekwisha hiyo!!
Ccm mbona hamjawahi kuipenda nchi?
Mnao watu wengi wenye uwezi wa kuwasenea wananchi, sasa huyo John D Palangyo...muuza nyara za serikali asiyejua kuongea...anaongea na pesa tu mnampeleka wapi?
 
Hahaha mbona vumbi tu, au ndio kujifariji kwenyewe huko
 
Back
Top Bottom