the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Wakati wananchi wakijitokeza kupiga kura katika maeneo mbalimbali kuchagua viongozi wa serikali za mitaa, baadhi ya shughuli ikiwemo wafanyabiashara kufunga maduka yao, kupisha upigaji kura unaoendelea kote nchini.
Sehemu mbalimbali za biashara ikiwemo maduka mengi kuchelewa kufunguliwa. Tofauti na siku zingine maduka hayo hufunguliwa mapema, lakini leo hali imeonekana kuwa tofauti na siku zingine ambapo maduka mengi yalianza kufunguliwa.
Maduka mengi hususani yaliyopo Barabara ya Uhuru na maeneo mengine hadi saa tatu asubuhi yalikuwa hayajafunguliwa ambapo baadhi yao yameanza kufunguliwa saa nne.
Sehemu mbalimbali za biashara ikiwemo maduka mengi kuchelewa kufunguliwa. Tofauti na siku zingine maduka hayo hufunguliwa mapema, lakini leo hali imeonekana kuwa tofauti na siku zingine ambapo maduka mengi yalianza kufunguliwa.
Maduka mengi hususani yaliyopo Barabara ya Uhuru na maeneo mengine hadi saa tatu asubuhi yalikuwa hayajafunguliwa ambapo baadhi yao yameanza kufunguliwa saa nne.