ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kila kabila au mkoa una utambulisho wao hapa mjini Dar
1. Watu kutoka Tanga
Hawa hujulikana kama waganga wa kienyeji,
Yaani ukimwambia mtu unatokea Tanga mtu atakuwazia mganga tu
Kwa wanawake wa Tanga Huwa wanasifika Kwa mahaba japo binafsi sijawahi kukutana na Binti wa Kitanga
2 Waha, watu wa Kigoma
Hawa hutambulika kama wachapakazi na wachuuzi
Shughuli Yao kuu ikiwa kukopesha vyombo
3 Wakurya kutoka Mara
Hawa shughuli Yao ni kufuga
Dar hujitambulishq sana sana Kwa shughuli za kuuza maziwa na mayai na kuku
4 Wagogo kutoka Dodoma
Hawa wengi hufanya biashara ya butcher
Wanauza nyama, ukiwa Bagamoyo hawa ni maarufu Kwa kuiba mifugo hasa mbuzi
5 Wakinga
Hawa ni wafanya biashara wakubwa
Yaani mtu ukimwambia we ni Mkinga atajua una biashara Kariakoo
6 Wachaga
Hawa hupenda biashara ya duka na Bar
Bar nyingi humilikiwa na Wachaga
7.wamakonde, watu kutoka ukanda wa kusaini
Hawa hufanya biashara ya mazao, kuuza vyakula kwenye masoko mengi utawakuta
8 Wapemba
Hawa huuza vitafunwa
Kama mandazi, kababu, chapati, kacholi n.k
9 Wahaya, watu kutoka Kagera
Hawa hufanya kazi smart, hasa za maofsini sio wazuri sana kwenye biashara
Kwasasa wamejiingiza kwenye udalali
10 Wanyakyusa
Hawa wengi Huwa mafundi wazuri wa majengo, kuanzia kujenga, kupauwa na rangi
11. Masai
Masai hutambulika Kwa shughuli za ulinzi
12 wanyiramba
Hawa hutambulika Kwa kuuza viungo vya jikoni
13 wazaramo/ wadengereko
Hawa Huwa hawataki shida
Ni kucheza Ngoma, shughuli Yao kuu ni kuuza dagaa Michele na samaki Kwa kiwango cha chini
14 wasukuma
Hawa ni wataalam wa biashara ya nafaka, huuza Michele, maharage, mahindi nk
1. Watu kutoka Tanga
Hawa hujulikana kama waganga wa kienyeji,
Yaani ukimwambia mtu unatokea Tanga mtu atakuwazia mganga tu
Kwa wanawake wa Tanga Huwa wanasifika Kwa mahaba japo binafsi sijawahi kukutana na Binti wa Kitanga
2 Waha, watu wa Kigoma
Hawa hutambulika kama wachapakazi na wachuuzi
Shughuli Yao kuu ikiwa kukopesha vyombo
3 Wakurya kutoka Mara
Hawa shughuli Yao ni kufuga
Dar hujitambulishq sana sana Kwa shughuli za kuuza maziwa na mayai na kuku
4 Wagogo kutoka Dodoma
Hawa wengi hufanya biashara ya butcher
Wanauza nyama, ukiwa Bagamoyo hawa ni maarufu Kwa kuiba mifugo hasa mbuzi
5 Wakinga
Hawa ni wafanya biashara wakubwa
Yaani mtu ukimwambia we ni Mkinga atajua una biashara Kariakoo
6 Wachaga
Hawa hupenda biashara ya duka na Bar
Bar nyingi humilikiwa na Wachaga
7.wamakonde, watu kutoka ukanda wa kusaini
Hawa hufanya biashara ya mazao, kuuza vyakula kwenye masoko mengi utawakuta
8 Wapemba
Hawa huuza vitafunwa
Kama mandazi, kababu, chapati, kacholi n.k
9 Wahaya, watu kutoka Kagera
Hawa hufanya kazi smart, hasa za maofsini sio wazuri sana kwenye biashara
Kwasasa wamejiingiza kwenye udalali
10 Wanyakyusa
Hawa wengi Huwa mafundi wazuri wa majengo, kuanzia kujenga, kupauwa na rangi
11. Masai
Masai hutambulika Kwa shughuli za ulinzi
12 wanyiramba
Hawa hutambulika Kwa kuuza viungo vya jikoni
13 wazaramo/ wadengereko
Hawa Huwa hawataki shida
Ni kucheza Ngoma, shughuli Yao kuu ni kuuza dagaa Michele na samaki Kwa kiwango cha chini
14 wasukuma
Hawa ni wataalam wa biashara ya nafaka, huuza Michele, maharage, mahindi nk