Shughuli za Mwenge zinaendelea. Je, Katazo la Wizara halina mashiko?

Shughuli za Mwenge zinaendelea. Je, Katazo la Wizara halina mashiko?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Ndio tatizo la kuwa na serikali ambayo iko so disorganized, kila Mtu anaongea lake, tumejenga nyumba za kujifukiza, tukaharibu na mimea lakini vyote vimeachwa.

Leo hii Wizara imetoa tamko la kuzuia mikusanyiko na kuchukua tahadhari dhidi ya Covid 19 ila cha kushangaza Shughuli za mwenge zinaendelea kama kawaida.

Tutegemee mamabukizi na vifo vya kutosha, sio utabiri Bali ni matokeo ya ujinga wa CCM huko wakitumia Polisi kubambika kesi za keshenzi kwa Viongozi wa Upinzani. Na Wallah mtaisha kwa Corona mwaka huu
 
Ndio tatizo la kuwa na serikali ambayo iko so disorganized, kila Mtu anaongea lake, tumejenga nyumba za kujifukiza, tukaharibu na mimea lakini vyote vimeachwa.

Leo hii Wizara imetoa tamko la kuzuia mikusanyiko na kuchukua tahadhari dhidi ya Covid 19 ila cha kushangaza Shughuli za mwenge zinaendelea kama kawaida.

Tutegemee mamabukizi na vifo vya kutosha, sio utabiri Bali ni matokeo ya ujinga wa CCM huko wakitumia Polisi kubambika kesi za keshenzi kwa Viongozi wa Upinzani. Na Wallah mtaisha kwa Corona mwaka huu
Ukitembelea Kimara nitafute.
Una beer zako tatu
 
Mikusanyiko isiyokua ya lazima ni ile ya chama kile kinachodai KATIBA MPYA nafikiri utakua umeelewa.
 
Kesho tunakusanyika Chigoma wakati tukiwapa mikia lesson two warudi Dar kuendeleza mgogoro unaofukuta.
 
Ndio tatizo la kuwa na serikali ambayo iko so disorganized, kila Mtu anaongea lake, tumejenga nyumba za kujifukiza, tukaharibu na mimea lakini vyote vimeachwa.

Leo hii Wizara imetoa tamko la kuzuia mikusanyiko na kuchukua tahadhari dhidi ya Covid 19 ila cha kushangaza Shughuli za mwenge zinaendelea kama kawaida.

Tutegemee mamabukizi na vifo vya kutosha, sio utabiri Bali ni matokeo ya ujinga wa CCM huko wakitumia Polisi kubambika kesi za keshenzi kwa Viongozi wa Upinzani. Na Wallah mtaisha kwa Corona mwaka huu
kile kirusi kina kuwa hatari tu endapo mikusanyiko ni ya chadema.ccm ni kichwa cha mwenda wazimu
 
Back
Top Bottom