The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Tuwe wakweli na serikali pamoja na wadau wengine tutoke kwenye blanketi la unafiki inajulikana wazi kwamba mahali popote ambapo matokeo ya uchaguzi yanatabirika, hakunaga ari ya ushindani.
Watu huona kwamba hakuna sababu ya kwenda kupangishwa foleni na kupigishwa kura wakati hata mshindi mwenyewe anajulikana.
Ombi langu kwa serikali hebu irekebishe Sheria ili kuruhusu uwanja mpana wa ushindani Sheria kama vile kuruhusu mgombea binafsi na kurekebisha muundo wa tume ya uchaguzi.
Soma Pia: Uzi Maalum wa Kasoro na Rafu kwenye zoezi zima la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Naona kabisa tunaharibu rasilimali nyingi za nchi kuhamasisha watu kushiriki shughuli za uchaguzi likini watu hawaoni sababu.
Watu huona kwamba hakuna sababu ya kwenda kupangishwa foleni na kupigishwa kura wakati hata mshindi mwenyewe anajulikana.
Ombi langu kwa serikali hebu irekebishe Sheria ili kuruhusu uwanja mpana wa ushindani Sheria kama vile kuruhusu mgombea binafsi na kurekebisha muundo wa tume ya uchaguzi.
Soma Pia: Uzi Maalum wa Kasoro na Rafu kwenye zoezi zima la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Naona kabisa tunaharibu rasilimali nyingi za nchi kuhamasisha watu kushiriki shughuli za uchaguzi likini watu hawaoni sababu.