Shuhuda aelezea Ubaguzi kwa watu weusi Nchini Ukraine

Shuhuda aelezea Ubaguzi kwa watu weusi Nchini Ukraine

Acheni unafki kwenye ishu za ubaguzi, waafrika ndio tunaongoza kwa kubaguana wenyewe kwa wenyewe, hicho wanachotufanyia ngozi nyeupe hakifikii hata robo ya tunayofanyiana weusi kwa weusi.
 
Yote haya sababu ya umasikini wa kimwili na akili.
Waafrika tutengeze kwetu na sio kukimbilia kwa watu lakini cha ajabu bado utakuta waafrika wanagombania kwenda huko.
Alafu wakibaguliwa wanaanza kulialia.

Kama ulienda huko kwa maamuzi yako basi acha ubaguliwe tu sababu huna akili.
 
Back
Top Bottom