Shuhuda: Chanzo cha moto soko la Karume ni mateja, waliangusha mshumaa wakati wanatengeneza mihadarati

Shuhuda: Chanzo cha moto soko la Karume ni mateja, waliangusha mshumaa wakati wanatengeneza mihadarati

Mimi sina imani na Amos Makala maana kila anapoongoza lazima masoko yaungue
 
Mkitaka hyo Hali iishe fasta biashara kubwa za wahindi na viongozi wakubwa nazo ziungue hautaona tena moto sokoni.
 
Kuna mmoja alisema aliyesababisha moto ni Jose

Hawa leo wanasema ni mateja

Ova
 
Raha Sana Ndugu zangu! Jamaa descent anakaa Na mateja usiku Na mishumaa?

Tv ya mchongo, shuhuda mchongo shida tu, zuluma zuluma Kwenye mitaji ya watu sio vyema!
Watanzania siyo wajinga kiasi hiki!
Clouds wanampenda kutumika Ka toilet paper Choo cha stendi!

Huyo jamaa shuhuda akamatwe, kama mshumaa ulidondoka kwanini hakuukota na kuuzima???

Wameshaanza mambo ya Mo na dereva taxi na SisiTiVi
 
Duh! kwa hiyo mshumaa tu ndio ulisababisha balaa lote lile?

Anatakiwa awekwe chini ya ulinzi na kuchukuliwa hatua kwa uzembe. Moto wa mshumaa hauwaki ghafla kiasi washindwe kuudhibiti mapema kabla haujasambaa. Kama haya maelezo ni ya kweli lakini.

Pia afuatiliwe vizuri kama kweli ni mfanyabiashara wa karume na watu wanamfaham siku zote, hatuchelewi kuletewa "shuhuda" kama yule mtesi wa Mboka au movie ya mwamedi...
 
Watanzania siyo wajinga kiasi hiki!
Clouds wanampenda kutumika Ka toilet paper Choo cha stendi!

Huyo jamaa shuhuda akamatwe, kama mshumaa ulidondoka kwanini hakuukota na kuuzima???

Wameshaanza mambo ya Mo na dereva taxi na SisiTiVi

Dah! We jamaa tumewaza vitu vinafanana hadi nimeshangaa.

Wasitufanye sie wajinga. Kwa watu wanavyopenda kutrend siku hizi ingekua ameshuhudia hilo tukio kama anavyoeleza hapo hizo habari zingepatikana siku hiyo hiyo.

Unawezashangaa vyombo tunavyoviamini vimedhamini hii movie ya shuhuda na ripoti itakuja kutembea mulemule
 
Dah! We jamaa tumewaza vitu vinafanana hadi nimeshangaa.

Wasitufanye sie wajinga. Kwa watu wanavyopenda kutrend siku hizi ingekua ameshuhudia hilo tukio kama anavyoeleza hapo hizo habari zingepatikana siku hiyo hiyo.

Unawezashangaa vyombo tunavyoviamini vimedhamini hii movie ya shuhuda na ripoti itakuja kutembea mulemule
Tunaandaliwa kisaikolojia ili isiwe surprise, au huenda wanapima upepo, kuona reaction ikoje juu ya hiyo, je, story line wadanganyika wameingia kingi au laah!

Waseem Tu SASA wafanyabiashara wa Karume wahamie Machinga Complex, Kwa hiyari!
Pale patazungushiwa mabati miaka 2!
 
Back
Top Bottom