asitufokeeeKwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.
Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee
Duh sijui alikufanyia nini mpaka kufikia hatua ya kuconclude kuwa mwenye akili nyingi na cash kuliko dada zetu na mama zetu humu.🤔🤔
I am flattered The Monk.
Binadamu tulivyo ni kwamba ukiniambia tukikutana ni siri ni kama unanipa sababu ya kutangaza tumekutana, inakuwa kama vile una kitu cha ziada hivo lazima dunia ijue nimekutana na mtu mwenye vitu vya ziada. Lakini tukikutana kawaida tu nitakosa sababu ya kutangaza. Kwa nini nitangaze? Nitachukulia kawaida tu.
Lol, tatizo unanipa sifa zisizokuwa zangu, mimi natamani kukutana na wewe ila usiniambie tu nisitangaze. Ukinipa ruhusa ya kukutana na wewe nitashukuru.
Hapo sawa watu wazima ruksa, ila vijana hawa banah ukikutana nao, wanaanza kutuletea mada sijui nilikutana na y na mambo kibaoMimi mtu mzima..hapo vipi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Mpaka utakapo kuwa mtu wa makamu, vijana nyie mna mambo sanaKwahiyo ule mpango wa kwenda kupata lunch Fifi umekufa? [emoji38]
😂😂😂😂Hahahaha, mkiwa ndani ya id ni tofauti ukiwa nje ya id , humu kuna watu wanaandikaga km vile wao ni ghali sana
Lkn uhalisia ni maandazi tu ,
Naogopa mwenyeMalizia basi
Ananitolea nje aiseeeeHahahaha
Siku moja insha'AllahWatu pekee ambao napenda na natamani sana Kukutana nao kwakuwa ninatamani kuwa ' Genius / Brainy ' kama walivyo Wao na nawakubali sana, japo najua kwa Hadhi yangu ya ' Kikapuku / Kimasikini ' huku Dhiki, Taabu na Majaribu vikiwa ni Sehemu ya Maisha yangu wanaweza Kukataa Kukutana nami ni hawa Wafuatao....
1. Sky Eclat
2. Bila bila
3. kagoshima
4. Baba Swalehe
5. DOUGLAS SALLU
6. The Boss
7. Chakaza
JF ina ' Great Thinkers ' wengi tu na wote nawakubali hata kama wengine sijawataja katika Kikosi changu hiki ila hawa ( 7 ) ni wa Thamani sana tu.
Nothing bwana it's JF tu basisawa dada😀😀
nakuonaga unavowasha moto mpaka nabaki nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mkuu si umejiunga miezi miwili tu iliyopita???Daaah mm numekutana na watu ila wengi waongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu si umejiunga miezi miwili tu iliyopita???
Hata mda huu niko Serena.Hahahaha, mfunde huyo ,halafu Nina tbt yako ,Upo Serena hotel
Umecheka mno hadi emoj zimejaa kwenye screen ya simu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AiseeeeeNimekutana na mwanafunzi wangu troublemaker, na ni trouble maker kweli.
Acha kabisa dada.Umecheka mno hadi emoj zimejaa kwenye screen ya simu