Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Kwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.

Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee
asitufokeee
 

Profesa hahitaji ruhusa ya kukutana na mwanafunzi wake!
 
Nipo na mshikaji wangu hata leo tulikuwa pamoja,wote tupo humu JF............then ninafahamiana na dada mmoja ambaye ni rafiki yangu pia na mara nyingi tunatembeleana yupo humu.......
 
Siku moja insha'Allah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…