Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hapo ndio sijui km ilikua kweli au laAhhahha kwani alikuomba kweli au Ngabu kaongea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio sijui km ilikua kweli au laAhhahha kwani alikuomba kweli au Ngabu kaongea tu
Hahahah Ngabu mzee wake shunie njo ujibu hapa niko nasubiri jibu kwa hamu zoteSasa ukaribu wako kwa Shualina utaulinganisha na wangu kweli?
HahhahahhaNaona leo ‘Mzee’ anajizolea mipointi tu...
Mliombana wapi hiyo picha jamaniKweli kabisa, tena naapia..
Hawezi amini Ngabu nakwambia atabishaMmmmh ,huu u karibu ni wa chit chat
Lakini alikuomba itakuwa kweliHapo ndio sijui km ilikua kweli au la
Hahahaha, sasa mm naanzaje kumpa wkt mm pia nimepewa kinyemelaLakini alikuomba itakuwa kweli
Humu humu JF....nimesahau tu ilikuwa kwenye uzi gani.Mliombana wapi hiyo picha jamani
Kumbe picha ya chui chui unayo?Hahahaha, sasa mm naanzaje kumpa wkt mm pia nimepewa kinyemela
Hahahaha, atakua anapenda ubishi sasaHawezi amini Ngabu nakwambia atabisha
Kwa libraryKumbe picha ya chui chui unayo?
Hivi huyo mtu aliyeniuza kwako we mzee ulimpa mahela au aliniuza burebureHahahaha, sasa mm naanzaje kumpa wkt mm pia nimepewa kinyemela
Hahaha,nilitumia mbinu za kijajusi ,si kumpa hata thumni ,alipenda tu kunipaHivi huyo mtu aliyeniuza kwako we mzee ulimpa mahela au aliniuza burebure
Ebu niambie alikujibu nini hahahha yaani kama naona jibu ulilopewaHumu humu JF....nimesahau tu ilikuwa kwenye uzi gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngabu huyo mzee siwezi mbishia kuna siku alinitajia picha ambayo kuna nguo nilivaaKumbe picha ya chui chui unayo?
HahahahhahahaKwa library
Sasa kapata faida gani jamani ya kuniuzaHahaha,nilitumia mbinu za kijajusi ,si kumpa hata thumni ,alipenda tu kunipa
Sijui kwa kweli, si alkua ananionesha kuwa wewe ni mrembo huna sura ya baba, mtoto white ,portableSasa kapata faida gani jamani ya kuniuza
Mimi huyo hivi we mzee mbona unanipa sifa ambazo sifanani nazo [emoji134][emoji134]Sijui kwa kweli, si alkua ananionesha kuwa wewe ni mrembo huna sura ya baba, mtoto white ,portable
Hahahaha, zile picha sio wewe ?Mimi huyo hivi we mzee mbona unanipa sifa ambazo sifanani nazo [emoji134][emoji134]