AmenWhat happened outside JF.. stay outside JF
alijua keki kumbe andazi[emoji23][emoji23]acha basi mambo yako hornet. Hazard ameachia vipi jimbo kirahisi hivyo!!
[emoji23][emoji23][emoji23]alijua keki kumbe andazi
Ebu uza basi tule mahela hayo [emoji847]Au mpaka niuze nyumba ya urithi ndio unielewe hahaha
Hahahahaha nimecheka sana ujue hornet chizi wewe
Fanya mpango bwana Hiyo kazi naitakaHahahahaha nimecheka sana ujue hornet chizi wewe
kazi yao ni kuficha ficha simu wakiwa wanacommentMi nakutana nao kila siku huku stendi na kwenye daladala sema hatujuani[emoji23]
Ama ulijua vile analafu ukitakakujua anaperuzi jf anakuwa na wasiwasi fulani mara akuangalis miguuni hadi kichwani au anainamia kiti kama analala hivi alafu unaona anatoa tabasam fulani .kazi yao ni kuficha ficha simu wakiwa wanacomment
Kwanini huko chini umemalizia kwa kujitetea kwamba haukupanda usafiri wa ofisi ? Kwani kupanda daladala ni nini mkuu? Ama ndiyo nyie JF kila mtu ana gariAma ulijua vile analafu ukitakakujua anaperuzi jf anakuwa na wasiwasi fulani mara akuangalis miguuni hadi kichwani au anainamia kiti kama analala hivi alafu unaona anatoa tabasam fulani .
Mi kuna mmoja mdada (wakawaida sana )alikuwa anasoma nyuzi jf bila woga wa kujua kama namchora tuu ila anabahati hakukomenti ila alikuwa ameshalog in akazhuka kimara mwisho mi siku hiyo nilipanda dalaldala siku na usafiri wa ofisi[emoji2][emoji2]
Kwa nini uaibike ?Sijawahi,ikitokea Sawa ila nitampa shariti la kutonitangaza uhalisia wangu ulivyo
Naogopa kuaibika!
Jamvini nipo freely kujieleza,kuongea mambo mengiKwa nini uaibike ?
Poa poaJamvini nipo freely kujieleza,kuongea mambo mengi
Face to face nimyonge Sana,age pia!
Namaanishakuwa sipandi daladala kila siku ni siku moja moja tuuKwanini huko chini umemalizia kwa kujitetea kwamba haukupanda usafiri wa ofisi ? Kwani kupanda daladala ni nini mkuu? Ama ndiyo nyie JF kila mtu ana gari
Natamani kukutana na wewe jamani,...mkuu unataka kufanya nini na hizo Data?
mi nipo Wee pita Ibungu utanikutaNatamani kukutana na wewe jamani,...
Hebu tupange basi siku....
Aaah Ibungu hapo tu ???mi nipo Wee pita Ibungu utanikuta