Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF


Duh, umeandika kwa hisia sana cariha, pole sana.
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Unajishauaaaaaaa!!
Unajiona Chriss Brown au mtoto wa Mobutu eti.
Acha kunibania wewe.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]auntieeeeh nimecheka hadi bas lol, akikubali nistue twende woteeeeh.
 
Nimewahi kuonana na Dinazarde pande za Mwanza jamani huyu dada ni pisi hatari.
Mtoto white, Shepu kajaaliwa . Sasa ukianza kupiga naye story ndio utajua kuna wanawake wamepewa uzuri na akili pia.
Shida yake moja tu anapenda story za umbea
 
Nimewahi kuonana na Dinazarde pande za Mwanza jamani huyu dada ni pisi hatari.
Mtoto white, Shepu kajaaliwa . Sasa ukianza kupiga naye story ndio utajua kuna wanawake wamepewa uzuri na akili pia.
Shida yake moja tu anapenda story za umbea

weeee hatujawah onana pumbavuuu😂😂
Afu umeoa unakutana na wanawake humu wa nini
Sema umewah ona pic yangu tu muone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…