Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
karibuAaah Ibungu hapo tu ???
Ntakuja, ntakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibuAaah Ibungu hapo tu ???
Ntakuja, ntakuja.
Hizo sheria zitasaidia nini? Just imagine fala mmoja anakuanika then anakula ban ya maisha. Kesho kutwa anakuja na ID mpya kuaendeleza utopolo wake nini kitakuwa kimesolviwa hapo!!
Cha muhimu ni wewe mwenyewe kuangalia aina ya watu/ID unazo hang out nazo
Kuna watu huja PM na kujifanya marafiki mnapiga story kumbe anakudodosa apate mawili matatu, unaishije then baadae anakuja na I'd nyingine kuanzisha Uzi au kuku attack na kusambaza umbeya, Kuna mmoja akapeleka maneno Hadi kwa mahawara zake wa humu ilinishangaza Sana.
In short JF nikutokuzoeana na mtu kabisa wengi humu failures wa life unakuta hakujua anaandika ili aonekane na yeye anakujua sijui kwa faida ya Nani, waache utoto,
Binafsi Kuna watu nafahamiana nao kwa I'd nyingine wanajifanya wema tuna chart kwingine Wana ni attack na vitu vya uongo kwa taarifa siwezi kubadili I'd yangu kisa wasengerema wasiojielewa Nita change tu siku nikijiskia Ila sio kwa wapuuzi wanaojifanya kunijua, hata wakinijua Hadi kisimi I won't change anything.
Watu kueni jamani, great thinker Ila Kuna watu akili Bora za nyumbu, hii platform muhimu ya kushare mawazo sio ujinga woooi,
Muwe na siku njema wote mnaojielewa
Jamaa niambie, wewe hutaki kuonana na totoz babu ???Duh, umeandika kwa hisia sana cariha, pole sana.
Jamaa niambie, wewe hutaki kuonana na totoz babu ???
Aaah wewe si ndiyo sukari ya warembo humu bwana!Nipo mkuu, hawa watoto wa humu mimi nawawezea wapi mkuu?
Mimi ni mtazamaji tu.
Aaah wewe si ndiyo sukari ya warembo humu bwana!
Hahaha, hapana braza mimi natania tu!Sawa mkuu, naona umeamua kunisema kinyume chake.
Hahaha, hapana braza mimi natania tu!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]auntieeeeh nimecheka hadi bas lol, akikubali nistue twende woteeeeh.[emoji28][emoji28][emoji28] Unajishauaaaaaaa!!
Unajiona Chriss Brown au mtoto wa Mobutu eti.
Acha kunibania wewe.
Nimewahi kuonana na Dinazarde pande za Mwanza jamani huyu dada ni pisi hatari.
Mtoto white, Shepu kajaaliwa . Sasa ukianza kupiga naye story ndio utajua kuna wanawake wamepewa uzuri na akili pia.
Shida yake moja tu anapenda story za umbea
Usiogope tulionana kama kaka na dada.weeee hatujawah onana pumbavuuu[emoji23][emoji23]
Usiogope tulionana kama kaka na dada.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi ni mtu mzima nimekuelewa kwanini umenikana hapa jukwaani.Uso kwa uso hatujaonana mi na wewe
Sasa sijui hayo umejuaje[emoji23]