Mimi ni mtu mzima nimekuelewa kwanini umenikana hapa jukwaani.
Kila la kheri
2015 tulionana Mwanza kama unamkumbuka kijana mmoja mrefu mweusikuonana wala sio shida ila hatujawah onana tukaongea kabisa au umenifananisha
Sio kweli kaka [emoji23][emoji23],biashara zetu zile lazima ukutane na wajumbe..Sijawahi kukutana na mwana Jf yeyote
Mininalo...Kwanini huko chini umemalizia kwa kujitetea kwamba haukupanda usafiri wa ofisi ? Kwani kupanda daladala ni nini mkuu? Ama ndiyo nyie JF kila mtu ana gari
Kwahiyo unajikataa kwamba huyo sio wewe, na umekua hivyo kwa bahati mbaya..[emoji848][emoji848]Sijawahi,ikitokea Sawa ila nitampa shariti la kutonitangaza uhalisia wangu ulivyo
Naogopa kuaibika!
Ntafurahi mnoohSoon tutaonana dogo.
Mh mjumbe, mimi huyu wa humu sijawahi kuonana wala kukutana na mwana Jf yeyote aiseeee.....[emoji2958][emoji851]Sio kweli kaka [emoji23][emoji23],biashara zetu zile lazima ukutane na wajumbe..
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Mh mjumbe, mimi huyu wa humu sijawahi juonana wala kukutana na mwana Jf yeyote aiseeee.....[emoji2958][emoji851]
Aaaah huku nje kila mtu haijui JamiiForums!Naelewa mkuu, lakini wa humu ndiyo tulioko nje. Binafsi naamini ninaokutana nao nje ndo members wa humu.
Aaaah huku nje kila mtu haijui JamiiForums!
Reality nimkimya Sana,naongea na mtu tuliezoeyana for more timeKwahiyo unajikataa kwamba huyo sio wewe, na umekua hivyo kwa bahati mbaya..[emoji848][emoji848]
Akikujibu naomba uni tag....[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa tulioko humu tunatoka wapi?
Akikujibu naomba uni tag....[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaNitafanya hivyo.
Ila kuna watu ukiwaambia taarifa umeitoa JF wanakuona kama muhaini. Sijui hata ni kwa nini.
Wivu sinaa ila roho inauma[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Wengi mno(sio kuchakatana lakini)! Mmoja wao yupo beside me hapa hapa tunaleana na kulea.
Huwa unanirusha roho sana mtu wangu. Nakuangalia halafu nasema "hiiiiii"Wivu sinaa ila roho inauma[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tuleane tu baba, maisha yenyewe mafupi haya[emoji8]Huwa unanirusha roho sana mtu wangu. Nakuangalia halafu nasema "hiiiiii"
Lakini usinifanyie hivyo Jael!Tuleane tu baba, maisha yenyewe mafupi haya[emoji8]