Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Sijawahi,ikitokea Sawa ila nitampa shariti la kutonitangaza uhalisia wangu ulivyo

Naogopa kuaibika!
Kwahiyo unajikataa kwamba huyo sio wewe, na umekua hivyo kwa bahati mbaya..[emoji848][emoji848]
 
Sio kweli kaka [emoji23][emoji23],biashara zetu zile lazima ukutane na wajumbe..
Mh mjumbe, mimi huyu wa humu sijawahi kuonana wala kukutana na mwana Jf yeyote aiseeee.....[emoji2958][emoji851]
 
Kwahiyo unajikataa kwamba huyo sio wewe, na umekua hivyo kwa bahati mbaya..[emoji848][emoji848]
Reality nimkimya Sana,naongea na mtu tuliezoeyana for more time
Hapa nipo huru hakuna anaye ijua status yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…