Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Kwanini huko chini umemalizia kwa kujitetea kwamba haukupanda usafiri wa ofisi ? Kwani kupanda daladala ni nini mkuu? Ama ndiyo nyie JF kila mtu ana gari
Mininalo...
IMG-20200721-WA0024.jpg
 
Sijawahi,ikitokea Sawa ila nitampa shariti la kutonitangaza uhalisia wangu ulivyo

Naogopa kuaibika!
Kwahiyo unajikataa kwamba huyo sio wewe, na umekua hivyo kwa bahati mbaya..[emoji848][emoji848]
 
Sio kweli kaka [emoji23][emoji23],biashara zetu zile lazima ukutane na wajumbe..
Mh mjumbe, mimi huyu wa humu sijawahi kuonana wala kukutana na mwana Jf yeyote aiseeee.....[emoji2958][emoji851]
 
Kwahiyo unajikataa kwamba huyo sio wewe, na umekua hivyo kwa bahati mbaya..[emoji848][emoji848]
Reality nimkimya Sana,naongea na mtu tuliezoeyana for more time
Hapa nipo huru hakuna anaye ijua status yangu
 
Back
Top Bottom