Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Niko Arusha sijawah kukutana na mwana jamiiforums yoyote[emoji34][emoji34]
 
"Kama mm niko Rock city lakn cjawah hata kusingiziwa kuwa ni mwana Jf hata kuulizwa tu id yangu" In peter msechu voice
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ msechu wanajua kigoma, basi utakuwa wa tatu tulio mwanza
 
Nilikutana na Khantwe ktk hali ya rohoni, nikamuona kabisaaa! rafiki huyu
 
Sijawahi kukutana na mjeiefu walahi, inabidi nikaogee shombo la maji ya samaki ili ning'arishe nyota labda....[emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ