[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa utakuta fala moja linakuja huku ,kuonesha kuwa anakujua nje ya JF
Wa pili huyu tunao ishi mikoani, kwani makonda amekufukuza lini DarPm ndiyo wapi, mi nipo mkoani huku?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakutana nao apa jukwaani, maana kila mtu yuko dsm mm tu ndo naishi nje ya DSM
Sijawahi kuishi Dar, nipo huku mkoani siku zoote, upo mkoani pia?Wa pili huyu tunao ishi mikoani, kwani makonda amekufukuza lini Dar
Yaaap mda tu mkoa wa mawe na milima saiviSijawahi kuishi Dar, nipo huku mkoani siku zoote, upo mkoani pia?
Milima na mawe ni Rock City , kule kwenye masamaki kibao?Yaaap mda tu mkoa wa mawe na milima saivi
"Kama mm niko Rock city lakn cjawah hata kusingiziwa kuwa ni mwana Jf hata kuulizwa tu id yangu" In peter msechu voiceNiko Arusha sijawah kukutana na mwana jamiiforums yoyote[emoji34][emoji34]
Yaaap mwanza, kwa wwapenda samaki na dagaa ndo kiwandani uku, unaweza nunua ata fuso nzimaMilima na mawe ni Rock City , kule kwenye masamaki kibao?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ msechu wanajua kigoma, basi utakuwa wa tatu tulio mwanza"Kama mm niko Rock city lakn cjawah hata kusingiziwa kuwa ni mwana Jf hata kuulizwa tu id yangu" In peter msechu voice
Wow, mkoa wangu ambao Mungu akijaalia utakua wa kwanza kutembelea, nije nile samaki tu๐๐Yaaap mwanza, kwa wwapenda samaki na dagaa ndo kiwandani uku, unaweza nunua ata fuso nzima
Karibuni
Wow, mkoa wangu ambao Mungu akijaalia utakua wa kwanza kutembelea, nije nile samaki tu๐๐
Pm ndiyo wapi, mi nipo mkoani huku?
Kumbaff
The same to youu[emoji2957]
Mh!huna mikosi,nipo kwa ajili yako
๐๐ Spark