Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF


Nikijidharau ndiyo sitoenda Mbinguni na Kupokelewa na Mwenyezi Mungu? Heshimu Mtazamo wangu kama vile ninavyouheshimu na wako Sawa?
 
Hahaha, unasema ? Hahahaha nyie wengine kwani nimesahau
 
hivi picha yangu haujafikishiwa?
 
I am flattered The Monk.

Binadamu tulivyo ni kwamba ukiniambia tukikutana ni siri ni kama unanipa sababu ya kutangaza tumekutana, inakuwa kama vile una kitu cha ziada hivo lazima dunia ijue nimekutana na mtu mwenye vitu vya ziada. Lakini tukikutana kawaida tu nitakosa sababu ya kutangaza. Kwa nini nitangaze? Nitachukulia kawaida tu.

Lol, tatizo unanipa sifa zisizokuwa zangu, mimi natamani kukutana na wewe ila usiniambie tu nisitangaze. Ukinipa ruhusa ya kukutana na wewe nitashukuru.
 
Hahaaa mkuu unizoee tu nilivo Yani walah haihusiki na sitiress Wala lolote so relax mkuu, ndio ninavoandika JF
sawa dadaπŸ˜€πŸ˜€
nakuonaga unavowasha moto mpaka nabaki nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…