Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naimani yuko tayari ili aikate kiu yake. Just be gentle when you meet such a beautiful creature. Mambo yako yaleee yaweke pembeni 😂😂
Usimuogope Sky Eclat we mwanaume bhana. Just be cool and rational in front of her Yeah ni mrembo haswa na ana hoja nzito so jiandaeNa bahati nzuri huyo Sky Eclat unayemjadili hapa Mkuu nasikia ni Mwanamke Mrembo hasa sasa sijui Mimi nina nini cha Kumpa. Ninamuogopa!
Malizia basiUmeanza
Duh sijui alikufanyia nini mpaka kufikia hatua ya kuconclude kuwa mwenye akili nyingi na cash kuliko dada zetu na mama zetu humu.🤔🤔Nilikutana na Mdada flani mwenye akili mingi Sanaa.. Nadhani ndio Mdada mwenye akili plus cash kuliko wote humu jamvini...
Na mkinizingua namtag🤣
Hahahaha, uchoyo nimefundishwa ukubwa , niki gharamia sipewi nanyimwaMwanaume unafunga pm unaogopa nini?
Wewe utakuwa mchoyo sana.
Sijawahi na sitowahi weka picha ya mtu jukwaani.Hahaha, unasema ? Hahahaha nyie wengine kwani nimesahau
Hahahaha, we unadanganya jukwaa ujue ,shauri yako unapata dhambiSijawahi na sitowahi weka picha ya mtu jukwaani.
Sasa handsome kama wewe niweke picha yako jukwaani si itakuwa gombania goli kama si tatu mzuka.
Mbona umeandika kwa uchungu mkuu!! Vipi unateseka na maandazi yao?Hahahaha, mkiwa ndani ya id ni tofauti ukiwa nje ya id , humu kuna watu wanaandikaga km vile wao ni ghali sana
Lkn uhalisia ni maandazi tu ,
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Punguza ukorofi dada.Mbona umeandika kwa uchungu mkuu!! Vipi unateseka na maandazi yao?
[emoji126][emoji126][emoji126]Kumbe na kugharamikia unaweza.Hahahaha, uchoyo nimefundishwa ukubwa , niki gharamia sipewi nanyimwa
Nikijidharau ndiyo sitoenda Mbinguni na Kupokelewa na Mwenyezi Mungu? Heshimu Mtazamo wangu kama vile ninavyouheshimu na wako Sawa?
Hahahaha[emoji126][emoji126][emoji126]Kumbe na kugharamikia unaweza.
Ngoja nikomae tu na wewe kitaeleweka.
Hahahaha, asee hebu tupia kule ktk Uzi wa watoto wakaliHornet picha yako nilipata wewe si ndo una shape kama Mobetto?
HahahahaMbona umeandika kwa uchungu mkuu!! Vipi unateseka na maandazi yao?
Hahahaha, mfunde huyo ,halafu Nina tbt yako ,Upo Serena hotel[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Punguza ukorofi dada.