BarikiwaWatu wengi washakutana humu sema hapo pa kuweka wazi hapo ndio siri ya mtu
Japo sisi tumeamua kuweka wazi.
Cc Smart911
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BarikiwaWatu wengi washakutana humu sema hapo pa kuweka wazi hapo ndio siri ya mtu
Japo sisi tumeamua kuweka wazi.
Cc Smart911
OK Sawa..nimemisi mapishi[emoji39][emoji39][emoji39][emoji28] Unanifananisha kaka.
tabu mtingita sijui ndo Hivyo!Tabu ndio nani?
MmmmhAcha kabisa dada.
Nimecheka mno dizain ya huyo mtu ni wale ambao nkitoka kuonana anakuja kukuchanba na id mpya kuwa miguu imepauka kwa vumbi.
Amesahau kwamba sasa hivi ni kipupwe
Hahahahakwa niaba ya maandazi wenzangu tunasema we fake it until we make it.
Swala ni muda au kukutana na watu?soma uzi uuelewe vzr, naweza kuwa na muda mchache lkn nikawa nimekutana na watu wengi tofauti na mwenye miaka mingi humu!!Mkuu si umejiunga miezi miwili tu iliyopita???
Mimi humu nimekutana na mke wangu wa pili sasa.Habarin Wadau, kufuatia ukuwaji wa sayansi na teknolojia ktk sekta ya mawasiliano kumepelekea ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii including JF. Mitandao ya kijamii ni platform kukutana na watu mbali mbali na kutengeneza mahusiano, urafiki, biashara n.k.
Je tangu Umeanza kutumia JF Je umewahi kukutana na mtu yeyote na kutengeneza?
A. Urafiki
B. Mahusiano ya kimapenzi
C. Fursa mbalimbali e.g kimasomo, biashara, ajira
He he umeongea kwa hasira kama ulimfanyia mabaya lazima akuongelee tuSasa utakuta fala moja linakuja huku ,kuonesha kuwa anakujua nje ya JF
Hahahaha, mm nimfanyie mtu mabaya wkt sina muda hata wa kuongea na MTUHe he umeongea kwa hasira kama ulimfanyia mabaya lazima akuongelee tu
We mama lete lete hela tufanye biashara [emoji1787] hivi mimi na wewe tunafahamiana kwelihivi picha yangu haujafikishiwa?
Eti wanaogopa kutongozwaMwanaume unafunga pm unaogopa nini?
Wewe utakuwa mchoyo sana.
Povu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha, mkiwa ndani ya id ni tofauti ukiwa nje ya id , humu kuna watu wanaandikaga km vile wao ni ghali sana
Lkn uhalisia ni maandazi tu ,
Hahahaha, sio Rafiki ,humu mnauzana sana kinyemelaPovu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha tuuzane tu kwani nini mimi kama mtu ananiuza uko aniuze tu na sura ya baba angu atajua mwenyeweHahahaha, sio Rafiki ,humu mnauzana sana kinyemela
Hahahaha, acha danganya watu huna sura ya babaAcha tuuzane tu kwani nini mimi kama mtu ananiuza uko aniuze tu na sura ya baba angu atajua mwenyewe
Mambo vipi lkn Rafiki kwemaAcha tuuzane tu kwani nini mimi kama mtu ananiuza uko aniuze tu na sura ya baba angu atajua mwenyewe
Najua mimi nishauzwa kwako [emoji1787] unaijua vizuri tu sura ya baba angu niliyokuwa nayo sema unanitetea tuHahahaha, acha danganya watu huna sura ya baba