Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, basi yaishe we ni mmoja ya watu naowaheshimu na kuwakubali humuNajua mimi nishauzwa kwako [emoji1787] unaijua vizuri tu sura ya baba angu niliyokuwa nayo sema unanitetea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, basi yaishe we ni mmoja ya watu naowaheshimu na kuwakubali humuNajua mimi nishauzwa kwako [emoji1787] unaijua vizuri tu sura ya baba angu niliyokuwa nayo sema unanitetea tu
Hahahaha, sura ya baba hunaNajua mimi nishauzwa kwako [emoji1787] unaijua vizuri tu sura ya baba angu niliyokuwa nayo sema unanitetea tu
Koh koh kohHahahaha, sio Rafiki ,humu mnauzana sana kinyemela
Kwema kabisa we mzee hofu kwako tuMambo vipi lkn Rafiki kwema
[emoji120][emoji120] na mimi pia hivyohivyo we mzeeHahahaha, basi yaishe we ni mmoja ya watu naowaheshimu na kuwakubali humu
Asee hofu nilikua nayo juu yako, ulikua kimya sana Rafiki mpk nikataka niweke TangazoKwema kabisa we mzee hofu kwako tu
Wewe una chunusi moja usoni 🤣🤣Hornet picha yako nilipata wewe si ndo una shape kama Mobetto?
Hivi kwa nini unanitetea kitu ambacho sio cha ukweli we mzee [emoji134][emoji134]Hahahaha, sura ya baba huna
Merci , tuendelee na mengine haya ya yao ,tuwaachie[emoji120][emoji120] na mimi pia hivyohivyo we mzee
HahahahaWewe una chunusi moja usoni [emoji1787][emoji1787]
Hahahaha sio Kidoti?Wewe una chunusi moja usoni [emoji1787][emoji1787]
Nakuona tu ulivyochangamka 😄.Hahahaha
Hahahaha, sababu najua unadanganya, lkn poa nakuelewa kwann wasema hiviHivi kwa nini unanitetea kitu ambacho sio cha ukweli we mzee [emoji134][emoji134]
Nah...ni chunusi. Mwenyewe ‘anajua’ nilichomaanisha.Hahahaha sio Kidoti?
[emoji23][emoji23][emoji23] Tangazo la nini sasa mimi nipo bwana kuna mda unaona hata uvivu kuingia jfAsee hofu nilikua nayo juu yako, ulikua kimya sana Rafiki mpk nikataka niweke Tangazo
Hahahaha, huwa nikimuona Shunie na memba mwingine huwa nafurahi sanaNakuona tu ulivyochangamka [emoji1].
Ngoja nisepe niwaachie uwanja mjinome...
Ngabu acha uchocheziNakuona tu ulivyochangamka [emoji1].
Ngoja nisepe niwaachie uwanja mjinome...
Hahaha umenielewaje etiHahahaha, sababu najua unadanganya, lkn poa nakuelewa kwann wasema hivi
Tangazo la kukutafuta[emoji23][emoji23][emoji23] Tangazo la nini sasa mimi nipo bwana kuna mda unaona hata uvivu kuingia jf
Hahahaha, huyo tena muitie yule best akeNgabu acha uchochezi