Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hongera mkuuMininalo...View attachment 1516219
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuuMininalo...View attachment 1516219
2015 tulionana Mwanza kama unamkumbuka kijana mmoja mrefu mweusi
Huku nje kila mtu anaogopa kusema ni mwana -JFSasa tulioko humu tunatoka wapi?
Huku nje kila mtu anaogopa kusema ni mwana -JF
Hizi salamu hawezi kuzipokea, maana katika vitu mke wangu hapendi kusikia ni kuhusu JF sijui kwaninina hivi upogo mbishii
Sikuweziii msalimie wifii
Kuna huyu jamaa Don Clericuzio niliwahi kukutana naye kwenye mashindano ya draft.anajua nilichomfanya
Una tofauti timu inafungwa worldcup halafu unakuja kulipa kisasi mechi ya kirafiki
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Lakini usinifanyie hivyo Jael!
Hahahaha, napenda draft ingawa sijui kulichezaKuna huyu jamaa Don Clericuzio niliwahi kukutana naye kwenye mashindano ya draft.anajua nilichomfanya
Kuna huyu jamaa Don Clericuzio niliwahi kukutana naye kwenye mashindano ya draft.anajua nilichomfanya
Una tofauti timu inafungwa worldcup halafu unakuja kulipa kisasi mechi ya kirafiki
ulimfanya nni acha mkwara
Teacher nipo
Huyo anaongea tu zile style za wacheza draft, nasubiri avunje record yangu sehemu.
Lol, thanks bebe🤣Anytime babe, I'll be there for you...[emoji12]