Shujaa wangu ni Tajiri Peter Zacharia aliyewamiminia risasi Watu wasiojulikana. Baadaye Ikajulikana walikuwa Usalama wa Taifa

Shujaa wangu ni Tajiri Peter Zacharia aliyewamiminia risasi Watu wasiojulikana. Baadaye Ikajulikana walikuwa Usalama wa Taifa

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mmiliki wa mabasi ya ‘Zacharia’, Peter Zacharia, Juni 30, 2018 alishikiliwa na vyombo vya dola mkoani Mara kwa tuhuma za kuwamimini risasi maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa waliodai walikuwa katika majukumu yao. Matiss hao walikimbizwa hospitali ya mjini Tarime kupata matibabu

Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Awali ilidaiwa mfanyabiashara huyo alitekwa na watu wasiojulikana alipokuwa ofisini kwake katika moja ya vituo vyake vya mafuta mjini Tarime.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima aliwaambia Wanahabari kwamba, kabla ya tukio hilo, maofisa watano wa usalama walifika katika kituo cha mafuta kinachomilikiwa na Zakaria kwa nia kujaza mafuta kwenye gari lao

“Wenzao wawili walishuka kwenye gari ghafla wakashambuliwa kwa risasi na Zakaria aliyekuwepo eneo hilo,” alisema Malima.

"Baada ya wenzao kujeruhiwa kwa risasi, maofisa wengine walifanikiwa kumdhibiti Zakaria na kumtia mbaroni na kumkabidhi kwa polisi.

Usalama wa taifa walienda kukagua mafuta kwani wao walikuwa Polisi?

Ilikuwa imepita siku chache baada ya Mwili wa Tajiri mwenzie wa huko huko Mara kuokotwa kwenye Kiroba

Kwa Wasiojua: March 14, 2018
mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Super Sami, Samson Josia alitoweka baadaye mwili wake ukapatikana katika Mto Ndabaka ukiwa umefungwa kwenye kiroba. Ilikuwa ni siku tano baada ya gari lake aina ya Toyota Land Cruiser kukutwa limeteketezwa kwa moto ndani ya eneo la Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
IMG_20180315_013638.png


Zaidi Soma: Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Hivyo watu walikuwa bado wanahofu. Walipotaka kumteka, akawawahi na kuwamiminia Risasi. Watu wakajaa, ndo Polisi na Wananchi kujaa kama mnavyojua wenzetu wa Mkoa wa Mara. Watu wakajaa na Mapanga sime mawe na kila kitu. Polisi walipokuja ndo akajisalimisha na kupelekwa kituoni na Wale TISS wakapelekwa Hospitali. Tangia hapo Utekaji Mkoa wa Mara Ukakoma.

Ingekuaje Zakaria asingejitetea?

Kesi yake ilienda mwishoe akabambikizwa kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi. Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Tangu Hayati Pombe Magufuli afe, kidogo Zakaria akaanza kupumua.

Ndo nikaanza kuelewa kwanini Rais Samia alikataa Urais wake usiwe awamu ya tano bali ya Sita.


Awamu ya tano ilinuka Mifereji ya damu iliyoganda.
 
Mmiliki wa mabasi ya ‘Zacharia’, Peter Zacharia, Juni 30, 2018 alishikiliwa na vyombo vya dola mkoani Mara kwa tuhuma za kuwamimini risasi maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa waliodai walikuwa katika majukumu yao. Matiss hao
Pamoja na kukataa serikali yake isiitwe awamu ya tano lakini amerithi maovu yote ya awamu ya tano kama kuteka,kutesa,kupoteza,kuua wapinzani na kuwafungulia kesi za mchongo. Pia amerithi wizi,uchakachuaji wa kura na kuharibu mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Kwahiyo unataka kusema shida ni watu kutojitetea, Magufuli, CCM, wanaCCM, Serikali, vyombo vya dola au?

Shida kubwa ni uadilifu na uwajibikaji kwa wananchi, jamii, serikali na vyombo vyake. Kila mmoja akitimiza wajibu wake kwa uadilifu haya hayatakuwepo.

Mfano, jamii ikapiga kelele kuhusu haya yanayotokea, serikali na vyombo vyake ikasimamia haki, km mtu anadaiwa akamatwe kwa utaratibu husika. Wanachi wapige kura kuondoa na kuweka viongozi wanaowajibika. Nk.

Tuwajibike
 
Vip
Mmiliki wa mabasi ya ‘Zacharia’, Peter Zacharia, Juni 30, 2018 alishikiliwa na vyombo vya dola mkoani Mara kwa tuhuma za kuwamimini risasi maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa waliodai walikuwa katika majukumu yao. Matiss hao walikimbizwa hospitali ya mjini Tarime kupata matibabu

Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Awali ilidaiwa mfanyabiashara huyo alitekwa na watu wasiojulikana alipokuwa ofisini kwake katika moja ya vituo vyake vya mafuta mjini Tarime.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima aliwaambia Wanahabari kwamba, kabla ya tukio hilo, maofisa watano wa usalama walifika katika kituo cha mafuta kinachomilikiwa na Zakaria kwa nia kujaza mafuta kwenye gari lao

“Wenzao wawili walishuka kwenye gari ghafla wakashambuliwa kwa risasi na Zakaria aliyekuwepo eneo hilo,” amesema Malima.

"Baada ya wenzao kujeruhiwa kwa risasi, maofisa wengine walifanikiwa kumdhibiti Zakaria na kumtia mbaroni na kumkabidhi kwa polisi.

Usalama wa taifa walienda kukagua mafuta kwani wao walikuwa Polisi?

Ilikuwa imepita siku chache baada ya Mwili wa Tajiri mwemzie wa huko huko Mara kuokotwa kwenye Kiroba

Kwa Wasiojua March 14, 2018
mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Super Sami, Samson Josia alitoweka baadaye mwili wake ukapatikana katika Mto Ndabaka ukiwa umefungwa kwenye kiroba. Ilikuwa ni siku tano baada ya gari lake aina ya Toyota Land Cruiser kukutwa limeteketezwa kwa moto ndani ya eneo la Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
View attachment 3152079

Zaidi Soma: Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Hivyo watu walikuwa bado wanahofu. Walipotaka kumteka, akawawahi na kuwamiminia Risasi. Watu wakajaa, ndo Polisi na Wananchi kujaa kama mnavyojua wenzetu wa Mkoa wa Mara. Watu wakajaa na Mapanga sime mawe na kila kitu. Polisi walipokuja ndo akajisalimisha na kupelekwa kituoni na Wale TISS wakapelekwa Hospitali. Tangia hapo Utekaji Mkoa wa Mara Ukakoma.

Ingekuaje Zakaria asingejitetea?

Kesi yake ilienda mwishoe akabambikizwa kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi. Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Tangu Hayati Pombe Magufuli afe, kidogo Zakaria akaanza kupumua.

Ndo nikaanza kuelewa kwanini Rais Samia alikataa Urais wake usiwe awamu ya tano bali ya Sita.


Awamu ya tano ilinuka Mifereji ya damu iliyoganda.
Vipi awamu ya 6 hainuki Mifereji ya damu na ndio hii
 
Mmiliki wa mabasi ya ‘Zacharia’, Peter Zacharia, Juni 30, 2018 alishikiliwa na vyombo vya dola mkoani Mara kwa tuhuma za kuwamimini risasi maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa waliodai walikuwa katika majukumu yao. Matiss hao walikimbizwa hospitali ya mjini Tarime kupata matibabu

Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Awali ilidaiwa mfanyabiashara huyo alitekwa na watu wasiojulikana alipokuwa ofisini kwake katika moja ya vituo vyake vya mafuta mjini Tarime.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima aliwaambia Wanahabari kwamba, kabla ya tukio hilo, maofisa watano wa usalama walifika katika kituo cha mafuta kinachomilikiwa na Zakaria kwa nia kujaza mafuta kwenye gari lao

“Wenzao wawili walishuka kwenye gari ghafla wakashambuliwa kwa risasi na Zakaria aliyekuwepo eneo hilo,” amesema Malima.

"Baada ya wenzao kujeruhiwa kwa risasi, maofisa wengine walifanikiwa kumdhibiti Zakaria na kumtia mbaroni na kumkabidhi kwa polisi.

Usalama wa taifa walienda kukagua mafuta kwani wao walikuwa Polisi?

Ilikuwa imepita siku chache baada ya Mwili wa Tajiri mwemzie wa huko huko Mara kuokotwa kwenye Kiroba

Kwa Wasiojua March 14, 2018
mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Super Sami, Samson Josia alitoweka baadaye mwili wake ukapatikana katika Mto Ndabaka ukiwa umefungwa kwenye kiroba. Ilikuwa ni siku tano baada ya gari lake aina ya Toyota Land Cruiser kukutwa limeteketezwa kwa moto ndani ya eneo la Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
View attachment 3152079

Zaidi Soma: Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Hivyo watu walikuwa bado wanahofu. Walipotaka kumteka, akawawahi na kuwamiminia Risasi. Watu wakajaa, ndo Polisi na Wananchi kujaa kama mnavyojua wenzetu wa Mkoa wa Mara. Watu wakajaa na Mapanga sime mawe na kila kitu. Polisi walipokuja ndo akajisalimisha na kupelekwa kituoni na Wale TISS wakapelekwa Hospitali. Tangia hapo Utekaji Mkoa wa Mara Ukakoma.

Ingekuaje Zakaria asingejitetea?

Kesi yake ilienda mwishoe akabambikizwa kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi. Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Tangu Hayati Pombe Magufuli afe, kidogo Zakaria akaanza kupumua.

Ndo nikaanza kuelewa kwanini Rais Samia alikataa Urais wake usiwe awamu ya tano bali ya Sita.


Awamu ya tano ilinuka Mifereji ya damu iliyoganda.
Ni hatari sana
 
Mmiliki wa mabasi ya ‘Zacharia’, Peter Zacharia, Juni 30, 2018 alishikiliwa na vyombo vya dola mkoani Mara kwa tuhuma za kuwamimini risasi maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa waliodai walikuwa katika majukumu yao. Matiss hao walikimbizwa hospitali ya mjini Tarime kupata matibabu

Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Awali ilidaiwa mfanyabiashara huyo alitekwa na watu wasiojulikana alipokuwa ofisini kwake katika moja ya vituo vyake vya mafuta mjini Tarime.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima aliwaambia Wanahabari kwamba, kabla ya tukio hilo, maofisa watano wa usalama walifika katika kituo cha mafuta kinachomilikiwa na Zakaria kwa nia kujaza mafuta kwenye gari lao

“Wenzao wawili walishuka kwenye gari ghafla wakashambuliwa kwa risasi na Zakaria aliyekuwepo eneo hilo,” amesema Malima.

"Baada ya wenzao kujeruhiwa kwa risasi, maofisa wengine walifanikiwa kumdhibiti Zakaria na kumtia mbaroni na kumkabidhi kwa polisi.

Usalama wa taifa walienda kukagua mafuta kwani wao walikuwa Polisi?

Ilikuwa imepita siku chache baada ya Mwili wa Tajiri mwemzie wa huko huko Mara kuokotwa kwenye Kiroba

Kwa Wasiojua March 14, 2018
mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Super Sami, Samson Josia alitoweka baadaye mwili wake ukapatikana katika Mto Ndabaka ukiwa umefungwa kwenye kiroba. Ilikuwa ni siku tano baada ya gari lake aina ya Toyota Land Cruiser kukutwa limeteketezwa kwa moto ndani ya eneo la Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
View attachment 3152079

Zaidi Soma: Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Hivyo watu walikuwa bado wanahofu. Walipotaka kumteka, akawawahi na kuwamiminia Risasi. Watu wakajaa, ndo Polisi na Wananchi kujaa kama mnavyojua wenzetu wa Mkoa wa Mara. Watu wakajaa na Mapanga sime mawe na kila kitu. Polisi walipokuja ndo akajisalimisha na kupelekwa kituoni na Wale TISS wakapelekwa Hospitali. Tangia hapo Utekaji Mkoa wa Mara Ukakoma.

Ingekuaje Zakaria asingejitetea?

Kesi yake ilienda mwishoe akabambikizwa kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi. Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Tangu Hayati Pombe Magufuli afe, kidogo Zakaria akaanza kupumua.

Ndo nikaanza kuelewa kwanini Rais Samia alikataa Urais wake usiwe awamu ya tano bali ya Sita.


Awamu ya tano ilinuka Mifereji ya damu iliyoganda.
Serikali ya Tanzania huwa haioni thamani ya wwtu wwke.

Serikali inacholiangalia ni kuli da viongozi na machawa wao wote.

Failed state
 
Back
Top Bottom