Shukran kwa AFCON, finally, Rais Uhuru Kenyatta ametoka mafichoni

Shukran kwa AFCON, finally, Rais Uhuru Kenyatta ametoka mafichoni

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Hayawi hayawi huwa. Baada ya wakenya kumtafuta rais wao kwa muda mrefu sana hatimaye leo hii amepatikana. Rais Uhuru Kenyatta awapa motisha na kuwatakia mema Harambee Stars. Hii mechi imemsisimua Rais Uhuru sana nimeona wakicheza 'one touch' hapo ikulu na waziri, CS Amina Mohammed. Harambee Stars mkituangusha mjifukie humo humo uwanjani kama fuko.
 
Haya mambo ya kuita timu ikulu
Etc....wakati michezaji yenyewe haijitumi ni kazi bure tu
Cc:tanzania
Cc:kenya

Ova
 
Back
Top Bottom