Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu wapendwa?
Napenda kuwashukuru wana JF wote kwa ushirikiano wenu na upendo wenu wa dhati kwangu. Mwaka Jana mwezi wa 12 nilileta uzi wangu nikiomba ushauri juu ya HIV
Lakini havifi..... vikiingia kwenye damu (host) vinazinduka.Ulikaa dk 2 ndomana nilikuwa nachanganyikiwa ila Leo nilivyongea na doctor kaniambia virus vinakaa nje ya damu kwa sekunde 5 tu