Shukrani kwa member aliyenisaidia

Shukrani kwa member aliyenisaidia

Habarini wanajukwaa!

Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa Tanzania. Kuna muda nilileta ama nilikuja hapa kuomba Msaada kwa mtu anayeweza kunisaidia kwa namna yoyote nipate kazi mkono uende kinywani.

Nashukuru Kuna member mmoja alinisaidia na leo ndio siku nimepata malipo/mshahara na nimenunulia familia yangu chakula. Nashukuru mno Mungu amsaidie amnyoonyeshee njia zake zinyooke Sina Cha kumlipa zaidi ya kushukuru anayetupa pumzi ambariki zaidi na zaidi azidi kuwa na huo moyo.

Sina ama nakosa maneno ambayo naweza nikamshukuru jamani Mana nimefurahi mno na familia Leo wamefurahi mno Mana hata wamepata maziwa ya ng'ombe wa kienyeji kwa hela niliyolipwa kwa kazi hiyo aliyoniunganisha. Namie nahaaidi siwezi muangusha aje kujutia.

Wewe member popote ulipo pokea SHUKRANI zangu za dhati narudia kusema ahsante Sana na ubarikiwe wewe mkaka na hata bado sijakufahami sinakuona na simu tu imefanya kazi.

Nisiwachoshe na furaha ama SHUKRANI zangu kwa wote mlionitia moyo na kuharibu pia kunisaidia.

Pia soma: Naomba msaada wa ajira au connection
Usiwe mchoyo kiasi hicho.
Utasemaje huna cha kumlipa?
Unaonaje umtafutie hata zawadi ndogo ya 10,000?

Mbona Waafrika wachoyo sana?

Eti sina cha kumlipa...onyesha shukrani ili hata akipata nafasi bora zaidi akukumbuke tena
 
Habarini wanajukwaa!

Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa Tanzania. Kuna muda nilileta ama nilikuja hapa kuomba Msaada kwa mtu anayeweza kunisaidia kwa namna yoyote nipate kazi mkono uende kinywani.

Nashukuru Kuna member mmoja alinisaidia na leo ndio siku nimepata malipo/mshahara na nimenunulia familia yangu chakula. Nashukuru mno Mungu amsaidie amnyoonyeshee njia zake zinyooke Sina Cha kumlipa zaidi ya kushukuru anayetupa pumzi ambariki zaidi na zaidi azidi kuwa na huo moyo.

Sina ama nakosa maneno ambayo naweza nikamshukuru jamani Mana nimefurahi mno na familia Leo wamefurahi mno Mana hata wamepata maziwa ya ng'ombe wa kienyeji kwa hela niliyolipwa kwa kazi hiyo aliyoniunganisha. Namie nahaaidi siwezi muangusha aje kujutia.

Wewe member popote ulipo pokea SHUKRANI zangu za dhati narudia kusema ahsante Sana na ubarikiwe wewe mkaka na hata bado sijakufahami sinakuona na simu tu imefanya kazi.

Nisiwachoshe na furaha ama SHUKRANI zangu kwa wote mlionitia moyo na kuharibu pia kunisaidia.

Pia soma: Naomba msaada wa ajira au connection
JF ni zaidi ya platform
 
Safi sana,Hongera sana Kwa mwana JF Kwa kujitoa Kwa ajili ya kijana mwenzetu,Mungu azidi kukubariki popote pale ulipo....Watu wenye mioyo ya kusaidia watu ni wachache sana kwenye Karne hii ya Sasa iliyojaa Ubinafsi.Mungu azidi kukubariki Huko uliko.
Lakini pia na wewe uwe na Nidhamu ya kazi,jitume,na uwe Bora siku Zote Hapo ulipo,Ili uzidi kufungua fursa za Wengine pia na utunze heshima ya aliyekuunganisha.
 
Habarini wanajukwaa!

Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa Tanzania. Kuna muda nilileta ama nilikuja hapa kuomba Msaada kwa mtu anayeweza kunisaidia kwa namna yoyote nipate kazi mkono uende kinywani.

Nashukuru Kuna member mmoja alinisaidia na leo ndio siku nimepata malipo/mshahara na nimenunulia familia yangu chakula. Nashukuru mno Mungu amsaidie amnyoonyeshee njia zake zinyooke Sina Cha kumlipa zaidi ya kushukuru anayetupa pumzi ambariki zaidi na zaidi azidi kuwa na huo moyo.

Sina ama nakosa maneno ambayo naweza nikamshukuru jamani Mana nimefurahi mno na familia Leo wamefurahi mno Mana hata wamepata maziwa ya ng'ombe wa kienyeji kwa hela niliyolipwa kwa kazi hiyo aliyoniunganisha. Namie nahaaidi siwezi muangusha aje kujutia.

Wewe member popote ulipo pokea SHUKRANI zangu za dhati narudia kusema ahsante Sana na ubarikiwe wewe mkaka na hata bado sijakufahami sinakuona na simu tu imefanya kazi.

Nisiwachoshe na furaha ama SHUKRANI zangu kwa wote mlionitia moyo na kuharibu pia kunisaidia.

Pia soma: Naomba msaada wa ajira au connection
Asante kwa mrejesho. Kama ulivyosema usimuangushe kwa maana asije kujuta akashindwa kuwapa nafasi hata wenye uhitaji wengine.

Sent from my SM-G965U1 using JamiiForums mobile app
 
Usiwe mchoyo kiasi hicho.
Utasemaje huna cha kumlipa?
Unaonaje umtafutie hata zawadi ndogo ya 10,000?

Mbona Waafrika wachoyo sana?

Eti sina cha kumlipa

Maisha ya duniani ni mzunguko kaka
10000 haina thamani kama undugu na upendo
Muhimu ni kua ameongeza mtu wa muhimu kwenye maisha yake,sawa na kusema ndugu
Watasaidiana kwenye maisha kiujumla

Umenikumbusha jambo moja
 
Kama kipato kimeongezeka ongeza mke wa pili uzae naye watoto hata wanne tu.
Riziki inakuja kutokana na ukubwa wa familia.
Zaa ndugu ujaze dunia usiwe mbinafsi sasa kazi unayo na salary unayo shida iko wapi?
Kama nguvu za kiume huna binafsi najitolea kukusaidia bure kiroho safi.
Ongeza mke mkuu.
Kuna mtu juu kasema jf ina watu wa aina zote.Aina ya kwanza hii.Ha ha ha ha😀😀😀😀
 
Maisha ya duniani ni mzunguko kaka
10000 haina thamani kama undugu na upendo
Muhimu ni kua ameongeza mtu wa muhimu kwenye maisha yake,sawa na kusema ndugu
Watasaidiana kwenye maisha kiujumla

Umenikumbusha jambo moja
Kaka usidanganywe hakunaga urafiki au undugu wa upande mmoja.

Ndio maana nimeshauri ajipange mbeleni naye aonyeshe shukrani hata kumnunulia kitu kidogo sna kama zawadi.
Hapo ataimarisha undugu wao.

Sisi wakristo tuna kitu kinaitwa fungu la 10 la mapato.

Unafikiri Mungu anahitaji pesa yetu sana?
Hapana bali nasi twaonyesha kujali na shukrani kwa kutuwezesha kupata riziki zetu.
Ni kuukuza uhusiano wetu na Mungu.
Nimekukumbusha nini?
Rafiki yetu hajambo?
 
Habarini wanajukwaa!

Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa Tanzania. Kuna muda nilileta ama nilikuja hapa kuomba Msaada kwa mtu anayeweza kunisaidia kwa namna yoyote nipate kazi mkono uende kinywani.

Nashukuru Kuna member mmoja alinisaidia na leo ndio siku nimepata malipo/mshahara na nimenunulia familia yangu chakula. Nashukuru mno Mungu amsaidie amnyoonyeshee njia zake zinyooke Sina Cha kumlipa zaidi ya kushukuru anayetupa pumzi ambariki zaidi na zaidi azidi kuwa na huo moyo.

Sina ama nakosa maneno ambayo naweza nikamshukuru jamani Mana nimefurahi mno na familia Leo wamefurahi mno Mana hata wamepata maziwa ya ng'ombe wa kienyeji kwa hela niliyolipwa kwa kazi hiyo aliyoniunganisha. Namie nahaaidi siwezi muangusha aje kujutia.

Wewe member popote ulipo pokea SHUKRANI zangu za dhati narudia kusema ahsante Sana na ubarikiwe wewe mkaka na hata bado sijakufahami sinakuona na simu tu imefanya kazi.

Nisiwachoshe na furaha ama SHUKRANI zangu kwa wote mlionitia moyo na kuharibu pia kunisaidia.

Pia soma: Naomba msaada wa ajira au connection
Humu ndani Kuna watu sana yaan watu wa ukwel...
Kuna ushaur mzur sanaa 😀😄 ni wewe mwenyewe kuchambua pumba na mchele....
KUNA KIPINDI NILIWAZA Maxence Melo atakua kaweka department kabisa za kusaidia watu....
Jf kwangu ni kama nyumbani....Tupo hapa hapa Bungeni kwetu Jf😄😊
 
Kiukweli nimefurahi mno Mana watoto walikosa protein jamani,ilikuwa wanakunywa uji wanalala. Hata kibarua Cha nguvu smt kinakosa ujue.

Mnabakia mnashindia uji Tena nafaka Ni mahindi. Ina pain mno so hata mental development yao inakuwa sio nzuri.
Uliwatanguliza watoto wako mbele, na Mungu akatenda kupitia mwana JF. Shikilia hapo hapo.. Kwako wewe watoto ni baraka.

Ubariwe na azidishiwe mwana JF mwenzetu aliyekushika mkono.
 
Usiwe mchoyo kiasi hicho.
Utasemaje huna cha kumlipa?
Unaonaje umtafutie hata zawadi ndogo ya 10,000?

Mbona Waafrika wachoyo sana?

Eti sina cha kumlipa...onyesha shukrani ili hata akipata nafasi bora zaidi akukumbuke tena
Kabisa, amtumie hata laki moja ya asante ndio uungwana.
 
Back
Top Bottom