Shukrani kwa Simba

The Wing

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,135
Reaction score
1,828
Kwa heshima kubwa napenda kuishukuru Simba Sports Klabu. Hii timu ilifanya umafia ambao naushukuru hadi Leo. Walivamia Airport wakamuiba Ngoma wakajiona majambazi. Chezaji ngongoti, legelege. Baada ya hayo Yanga wakamshusha ZIZU wa IVORY COAST. Mpaka Wasemeeee.
 
Kwa ushirikina mloufanya juzi lazima kila mchezaji mzuri aonekane hajui...
 
Nimejaribu kumpiga mwanamke wangu bao 5 duuuh naishia 3 nakata moto waku nifanyeje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…