Kwa heshima kubwa napenda kuishukuru Simba Sports Klabu. Hii timu ilifanya umafia ambao naushukuru hadi Leo. Walivamia Airport wakamuiba Ngoma wakajiona majambazi. Chezaji ngongoti, legelege. Baada ya hayo Yanga wakamshusha ZIZU wa IVORY COAST. Mpaka Wasemeeee.