Shukrani kwa Wananchi... Sasa namalizia mjengo wangu

Shukrani kwa Wananchi... Sasa namalizia mjengo wangu

Mcqueenen

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,843
Reaction score
11,702
Kwanza sifa zote ziende kwa mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kunipa pumzi, Alhamdullilah.
Tulidharauliwa sana.
Kipindi naenda kusoma ndugu walikaa kikao wakawa wanasema "unapoteza muda tu, hiyo kozi hailipi."
"Kwanza kuna ajira huko?"
"Mishahara yao midogo sana"
"Kwanza kazi ya kukimbia kimbia uwanjani dakika zote, unachoka sana halafu unalipwa laki4 wakati unaowasimamia wanalipwa mamilioni"
"kazi ya lawama hiyo, kujidharilisha, unaweza hata kupigwa mawe"

Leo hii, nimekuwa mfano wa kuigwa katika ukoo, nimesaidia familia yangu na wadogo zangu ninawasomesha international.
Nyumba yangu kigamboni naikimbiza kwa kasi ya 4G. Kwa mwendo huu January nahamia.
45
🙏🙏
 

Attachments

  • DCI_335521camera.jpeg
    DCI_335521camera.jpeg
    35.7 KB · Views: 7
Jamii forum ina taarifa zako


Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
GSM hili suala nikilifikisha fifa mmkwesha na yanga yenu. Ohhhh
 
Jamii forum ina taarifa zako


Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Huyo ni dogo langu
 
Oya mbona kama ile nyumba yangu nayomalizia😁😁, Mzee finishing ni kisanga kikubwa ila hongera mzee baba, usisahau kufanya investment maana kazi zetu hizi sio za kutegemea sana na umri unakimbia pia
 
Oya mbona kama ile nyumba yangu nayomalizia😁😁, Mzee finishing ni kisanga kikubwa ila hongera mzee baba, usisahau kufanya investment maana kazi zetu hizi sio za kutegemea sana na umri unakimbia pia
😂😂😐Najua hilo...itabidi tupambane hii 45 tuifikishe 60.
Ntakua nshahamia na kabiashara kabisa
 
Kwanza sifa zote ziende kwa mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kunipa pumzi, Alhamdullilah.
Tulidharauliwa sana.
Kipindi naenda kusoma ndugu walikaa kikao wakawa wanasema "unapoteza muda tu, hiyo kozi hailipi."
"Kwanza kuna ajira huko?"
"Mishahara yao midogo sana"
"Kwanza kazi ya kukimbia kimbia uwanjani dakika zote, unachoka sana halafu unalipwa laki4 wakati unaowasimamia wanalipwa mamilioni"
"kazi ya lawama hiyo, kujidharilisha, unaweza hata kupigwa mawe"

Leo hii, nimekuwa mfano wa kuigwa katika ukoo, nimesaidia familia yangu na wadogo zangu ninawasomesha international.
Nyumba yangu kigamboni naikimbiza kwa kasi ya 4G. Kwa mwendo huu January nahamia.
45
🙏🙏
Siyo hawa marafa na waamuzi wanaolalamikiwa KWELI??

Unaikimbiza nyumba kwa kasinya 4G halafu mshahara 400k?
 
Huyo ni dogo langu
[emoji15][emoji15][emoji15] pole ila humu JF umeshaweka file la maisha yako ngosha.



Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom