Shukrani MMU zoezi limezaa matunda

Shukrani MMU zoezi limezaa matunda

Ndechumia

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
1,164
Reaction score
573
wana jf, juz nilikuwa jmos naliomba ushauri kuhusu ku-divert zawad kutoka kwa msichana ambae nilikuwa na mpango wa kuwa na mahusiano nae kwenda kwa kifaa kipya ambacho nimekipata hv karibuni. Wana jf weng waliniunga mkono wakiniambia kuwa hiyo zawad ambayo ni gaun km bado lipo ktk hali nzur naweza kumpa, na ile ya kusuka rasta za kimasai bora nimpe pesa apange mwenzewe nn cha kufanya. Zoezi nimelifanya na amefurah sana, nawashakuru sana.
 
safi mwana...sasa kilichobaki ni kuuliza swali la muhimu......
 
Ndechumia, u ar such a baby! Lol, how dd I miss that! Hahahaha!
 
Khaaa. . .afadhali ulipotezea ile ya rasta.

mi nimempa 30 nikamwambia aangalie cha kuifanyia, alifurah sana kaniambia niende kwao, ila namvutia kwanza kasi.
 
Hongera, inaonekana you are into her so much.
Goodluck
 
mi nimempa 30 nikamwambia aangalie cha kuifanyia, alifurah sana kaniambia niende kwao, ila namvutia kwanza kasi.

Good for you.
Ila muwe wakweli na wawazi sasa kama mna nia ya kukuza mahusiano yenu.
 
Ha ha, atakapokuta kaenda nunua unga badala ya kusuka atalia maana za kimasai zinamumaliza kabsa

dah atanidis apoint sana, ila ni mapenz yake achague kip cha muhim rasta au unga
 
dah atanidis apoint sana, ila ni mapenz yake achague kip cha muhim rasta au unga

We kijana wewe. . . kwahiyo unataka mwanamke ambae anaangalia kujipamba kwanza kabla ya atakachokula? Siku mkiwa hamna pesa wakati mmeoana anaenda kuchezea 10000 saluni alafu ukirudi nyumbani mnakula ugali na kachumbari.

Kaaazi kweli kweli.
 
Ndechumia, sina tabia ya kuuliza umri wa members, bt I'm itching to. Bt I won't, ok?
 
safi sana...atleast umerudi na feedback nzuri,...nadra sana humu jamvini
 
We kijana wewe. . . kwahiyo unataka mwanamke ambae anaangalia kujipamba kwanza kabla ya atakachokula? Siku mkiwa hamna pesa wakati mmeoana anaenda kuchezea 10000 saluni alafu ukirudi nyumbani mnakula ugali na kachumbari.

Kaaazi kweli kweli.
........Kwahiyo humu inaonekana nipo kwenye kiwango cha juu cha uhongaji japokuwa sijafikia viwango vya kuhonga gari na kiwanja, lakini kwa takwimu hizi!! mmhhh!
 
hivi stori ilanzaje, nikumbushe please!

kuna mdada nilimnunulia zawad then akawa hataki tuonane nimpatie, mi nikapiga chin nipopata mwingine nikaamua kumpelekea coz maumbo yao km vile yapo sawa, ila cjamwambia km haikuwa yake.
 
Back
Top Bottom