demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kama mwanajangwani, ningependa kutoa shukrani na pongezi zangu binafsi kwa Mwenyekiti aliyefanikiwa kuiko mwenyekiti yeyote tuliyepaya kuwa naye Jangwani Bw Yusuph MANJI.
Mnamo jana jioni Bw Yuusph Manji aliwasilisha barua ya kuomba kujiuzulu kwenye nafasi ya Uwenyekiti ya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Bara kutokana na kutokutengemaa kwa Afya yake.
Mwenyekiti alieleza zaidi kuwa angependa kuachia nafasi hiyo ili apishe Mwenye nguvu zaii ya kuweza kuitumikia Yanga kwa kuwa hali yake ya kiafya hivi sasa haimwezeshi kuitumikia kikamilifu Klabu ya Mabingwa mara 27 wa kihistoria wa Tanzania.
Ningependa kuanisha baahi ya Mafanikio yake yanayoonekana kwa Macho tangu ajifungie katika mitaa ya Jangwani mnamo mwaka 2012! Kwa kipindi chote cha miaka 5. (2012 - 2017)
Pia tunashukuru kwa Ekari 100 ulizozikabidhi kuwa Mali ya KLABU kule kigamboni...
ZAIDI: Mafanikio ya kipekee ni kuhakikisha katika kipindi chote cha kuwa Mwk wa Mabingwa wa kihistoria Yanga SC ulihakikisha kuwa MIKIA FC hawawi Mabingwa (nakumbuka ahadi hii uliitoa mara tu baada ya kuchaguliwa kuwa Mwk pale Jangwani).
NK:
Kwa niaba ya wanaJangwani wote humu JamiiForum tungependa kukutakia afya njema, mkono wa mwenyezi MUNGU uwe juu yako katika kipindi hiki kigumu mpaka pale utakapo pata nafuu na kuendelee na shughui zako za kila siku.
Tunakuhaidi kuwa tutauendeleza UBABE kwenye Ligi mpaka pale Yesu atakapo rudi na kutunyakua.
Demigod - Mkereketwa Mkuu wa Mabingwa mara 27 wa kihistoria wa LIGIKUU Tanzania Bara.
Mnamo jana jioni Bw Yuusph Manji aliwasilisha barua ya kuomba kujiuzulu kwenye nafasi ya Uwenyekiti ya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Bara kutokana na kutokutengemaa kwa Afya yake.
Mwenyekiti alieleza zaidi kuwa angependa kuachia nafasi hiyo ili apishe Mwenye nguvu zaii ya kuweza kuitumikia Yanga kwa kuwa hali yake ya kiafya hivi sasa haimwezeshi kuitumikia kikamilifu Klabu ya Mabingwa mara 27 wa kihistoria wa Tanzania.
Ningependa kuanisha baahi ya Mafanikio yake yanayoonekana kwa Macho tangu ajifungie katika mitaa ya Jangwani mnamo mwaka 2012! Kwa kipindi chote cha miaka 5. (2012 - 2017)
- Young Africa SC imekuwa mabingwa wa Ligi mara 4 - (2012–13, 2014–15, 2015–16, 2016/17).
- Young Africa SC imebeba kombe la ligi mara 1 - (2015–16)
- CECAFA Kagame Cup 1 - (2012)
- Azam Sport Fed Cup 1 - (2015/16)
Pia tunashukuru kwa Ekari 100 ulizozikabidhi kuwa Mali ya KLABU kule kigamboni...
ZAIDI: Mafanikio ya kipekee ni kuhakikisha katika kipindi chote cha kuwa Mwk wa Mabingwa wa kihistoria Yanga SC ulihakikisha kuwa MIKIA FC hawawi Mabingwa (nakumbuka ahadi hii uliitoa mara tu baada ya kuchaguliwa kuwa Mwk pale Jangwani).
NK:
Kwa niaba ya wanaJangwani wote humu JamiiForum tungependa kukutakia afya njema, mkono wa mwenyezi MUNGU uwe juu yako katika kipindi hiki kigumu mpaka pale utakapo pata nafuu na kuendelee na shughui zako za kila siku.
Tunakuhaidi kuwa tutauendeleza UBABE kwenye Ligi mpaka pale Yesu atakapo rudi na kutunyakua.
Demigod - Mkereketwa Mkuu wa Mabingwa mara 27 wa kihistoria wa LIGIKUU Tanzania Bara.