ombi limekubaliwa mkuu...!do that for all of us
kwani mi nataka watoto?ππ
we baba askofu mafumbo meeengiπ
kwani mi nataka watoto?ππ
R U doing it everyday for nothing? Unaenda against "Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi"
πππ Mwaka mmoja tu??ikifika 13/2/2011 hakuna dalili ni kikao!π
ikifika 13/2/2011 hakuna dalili ni kikao!π
what am i doing it everyday?....
" ......Bwana Mungu akamwambia Adamu,nendeni MKAZALIANE NA KUIJAZA nchi.........."Nadhani kitabu cha mwanzo.Hommie nani alikudanganya na wewe kuwa lengo kuu la ndoa ni kuzaliana?
Hommie nani alikudanganya na wewe kuwa lengo kuu la ndoa ni kuzaliana?
baelezee kiongozi!na kwakweli mjadala huu utaibuka upyaaaaaaa
πππ Mwaka mmoja tu??
" ......Bwana Mungu akamwambia Adamu,nendeni MKAZALIANE NA KUIJAZA nchi.........."Nadhani kitabu cha mwanzo.