kaka we acha tu lazima nikushirikishe hivi ulifanikiwa kupata p..cha yake? mi ninayo hatimaye nilifanikiwa baada ya zoezi zito kilichobaki ni hiyo namba tu. eliza atafurahi huyo!
inakuwaje mpaka unanukuu post yangu bila kuonyesha kuwa unajali???????????????
hebu onyesha kwanza ndio nikujibu ....................... vinginevyo .......................
Afu wewe! ole wako unitende,nitakusemelea kwa my Dady Mwita.Ana hasira. Nilishampiga talaka!
Ngoja nicheki na mkuu Kaizer. Yule yuko sharp kawa wembe.
namba alipewa kaizer🙂
hehehe!nafikiri hapo kila mtu atakuwa keshaoa na kuolewa😀Hongera sana kijana kwa uamuzi mzito uliochukua na sisi tunao jiexpress tutafuata nyao zako 2012 wakuu karibuni sana naomba Lisa unipigie pigie debe kwa huyo mtoto maana mpaka sasa bado sijapata kitu cha kumelemeta nacho 2012.
naungana na wazo la baba-askofu kwamba we meet AFTER KWARESMA and all that!
hehehe!nafikiri hapo kila mtu atakuwa keshaoa na kuolewa😀
itakuwa bomba sana kama anayo. maana kazi ilikuwepo siku ile!
Mama yangu! Ntakoma. Naona ushaniweka kwenye ignore list yako!
Nimekugongea senksi kuonyesha kujali kwangu. Unaonaje hapo?
Hongera sana kijana kwa uamuzi mzito uliochukua na sisi tunao jiexpress tutafuata nyao zako 2012 wakuu karibuni sana naomba Lisa unipigie pigie debe kwa huyo mtoto maana mpaka sasa bado sijapata kitu cha kumelemeta nacho 2012.
usijali mkuu, mi nilishatangaza kuwa siwezi kuwa na ignore list hapa jf, kwa hiyo usipate presha..........................
unajua infact sijachengi behavia na tena hii yangu ni anichenjabo............nimewapa bht na pacha wake pearl likizo. walisema nataka kuwatoa roho ................
halafu, hivi uko serius kuwa umesahau kuwa HII NI KWARESMA?????????????
sasa hivi raha!baa tunakunywa tu na kula bites.CHAKULA NYUMBANIIIII!halafu msosi ndo vile kinyumbani nyumbani:
wali maharagwe,wali nyama,ugali samaki,ugali mboga za majani.juisi na kila kitu vimetengwa hapo mezani!unakula pale unalala unarudi baa
Afu haka ka bht-mamushka kangu sijui kamepotelea wapi? Ulikuwa unanifurahisha ulivokuwa unawapelekesha. Nilikuwa nawafuatilieni kama guest. Nilitamani nisign in ili nikugongee senksi lakini nikaendelea na mpango wangu wa kukaa kimya kwa muda. Mara ghafla vuuup ukatangaza wokovu. Dah!
Hivi kwaresma yatupasa nini?
Sita? anawatest wote? Kijana anahitaji maombi.Wale sita naowafahamu ushawamwaga wote?