Afu wewe! ole wako unitende,nitakusemelea kwa my Dady Mwita.
Wale sita naowafahamu ushawamwaga wote?
wokovu wenyewe ni wa muda tu, baada ya kwaresma narudi kwenye fani................
wanasemaga kwaresma tufunge, sasa mimi baada ya kushindwa kufunga msosi, nimeamua kufunga kusema ile neno natoka mwakemwake.............. ndokama unavoona hivyo.................
Hivi unawajua watu wa Musoma mapanga shaaaaa au unawasikia tuu!BABA hana la kusema mbele ya MUME! Ukiolewa mmeo ndio anakuwa mtoa order wako mkuu. Baba akikuhitaji lazima aombe ruhusa kwangu!
sasa hivi raha!baa tunakunywa tu na kula bites.CHAKULA NYUMBANIIIII!halafu msosi ndo vile kinyumbani nyumbani:
wali maharagwe,wali nyama,ugali samaki,ugali mboga za majani.juisi na kila kitu vimetengwa hapo mezani!unakula pale unalala unarudi baa
wokovu wenyewe ni wa muda tu, baada ya kwaresma narudi kwenye fani................
wanasemaga kwaresma tufunge, sasa mimi baada ya kushindwa kufunga msosi, nimeamua kufunga kusema ile neno natoka mwakemwake.............. ndokama unavoona hivyo.................
Sita? anawatest wote? Kijana anahitaji maombi.
Hivi unawajua watu wa Musoma mapanga shaaaaa au unawasikia tuu!
you better be careful
Hivi unawajua watu wa Musoma mapanga shaaaaa au unawasikia tuu!
you better be careful
Sita? anawatest wote? Kijana anahitaji maombi.
huku ndiko michongo ilipolala!utakaa na waifu 24/7 mtakula nini?mtakula I LOVE YOU?
....NITAMFAHAMIA WAPI x-pin,kaizer,fidel,de novo et al?hawa wote wanapatikana BAA 24/7.na hapa ndipo michongo ya plot,magari,mila tukutuku et al inapojadiliwaKijana hapo ndipo unaponifurahisha. Wafanyakazi TBL/SBL watapataje mishahara?
Je kina Eliza keep change watazipataje?
Nani atadumisha mila na kina Eliza kama tutakaa nyumbani 24/7?
substantiateπ
Noted with Thanks.Bila shaka ni hizi mila anazodumisha za wake sita(Xpin).Unaonaje? nimpige chini?naona umeiva kwel kwel kwenye NENO!...ππ
tatizo jamaa anakulostisha
Kwa heshima na taadhima,napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wanajamiiforums wote marafiki,wapwa na mabinamu kwa mema yote na support kubwa mliyonipa katika mchakato wote wa project yangu ya tar 13/02/2010.
pamoja na matatizo makubwa yaliyojitokeza vikiwemo chuki,magomvi na visilani wakati wote wa maandalizi na kuikamilisha project hii ninapenda kuwashukuru zaidi kwa mioyo yenu iliyojaa upendo mkubwa na uvumilivu wa aina yake.Ninaamini nimewakwaza wengi sana,na wengine wameapa kutokurudi jamiiforums...!mimi ni binadamu na si malaika.NAOMBA MNISAMEHE KWA HILO
Nitaomba nitoe shukrani ya pekee kwa zawadi mliyonipa ambayo imegharimu TZSH 744,000.00.AHSANTENI SANA KWA MOYO WENU WA UPENDO.Ukweli unabaki kuwa hiyo ndiyo ilikuwa zawadi pekee kubwa katika harusi yangu.AHSANTENI SANA ,NA TUNAWAPENDA SANA
Nitaomba nitoe shukrani ya pekee kwa michango mliyonitolea kufanikisha kila lililostahili kuipendezesha harusi yangu.jamiiforums imenichangia kiasi cha TSH 1,105,000.00.AHSANTENI SANA!familia ya MR & MRS geoff inawashukuru sana.kwakweli hatuna neno zuri kwa sasa litakalotumika kushukuru zaidi ya AHSANTE
Ninaomba bila kuwakwaza nipewe ruhusa na nitambue pia mchango wa mtu mmoja mmoja KWA KUWATAJA MAJINA.Majina haya hayazingatii kiwango cha mtu alichotoa,NI OUT OF MY FEELINGS
1Sinkala
2Fidel
3Kaizer
4CHrispin
5Nyamayao
6INVISIBLE(NA UONGOZI MZIMA WA JF)
7Next level
8Mwanajamii
9Nguli
10Askofu
11Preta
12Prisca
13Carmel
14Darkcity
15DeNovo
16Pakajimmy
17Triplets
18Firstlady1
19Ziondaughter
20Edson
21JS
22ALL JAMIIFORUMS MEMBERS
I LOVE YOU GUYS!.......
TUNATARAJIA KUTOA MWALIKO ILI MJE KUMLA MBUZI ATAKAYEOKWA KWA HICHI KIFAA MLICHOTUNUNULIA!...stay tuned na muandae matumbo tuππ
CHEERS!
MUNGU IBARIKI JF