SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

Afu wewe! ole wako unitende,nitakusemelea kwa my Dady Mwita.

BABA hana la kusema mbele ya MUME! Ukiolewa mmeo ndio anakuwa mtoa order wako mkuu. Baba akikuhitaji lazima aombe ruhusa kwangu!
 
Wale sita naowafahamu ushawamwaga wote?

Mpwa nilisha wamwaga si unajua wapo wakusuuza koo na wapo wa kuolewa.
Nikishindwa kabisa nafumua Bar nachomoka na Eliza tu kwani kuna ubaya naweka kaunda home.
 
wokovu wenyewe ni wa muda tu, baada ya kwaresma narudi kwenye fani................

wanasemaga kwaresma tufunge, sasa mimi baada ya kushindwa kufunga msosi, nimeamua kufunga kusema ile neno natoka mwakemwake.............. ndokama unavoona hivyo.................

".....atakayenikana mbele za watu nami ntamkana mbele ya baba yangu........."
Shaurilo!
 
BABA hana la kusema mbele ya MUME! Ukiolewa mmeo ndio anakuwa mtoa order wako mkuu. Baba akikuhitaji lazima aombe ruhusa kwangu!
Hivi unawajua watu wa Musoma mapanga shaaaaa au unawasikia tuu!
you better be careful
 
sasa hivi raha!baa tunakunywa tu na kula bites.CHAKULA NYUMBANIIIII!halafu msosi ndo vile kinyumbani nyumbani:
wali maharagwe,wali nyama,ugali samaki,ugali mboga za majani.juisi na kila kitu vimetengwa hapo mezani!unakula pale unalala unarudi baa

Eh... Makubwa!! Unarudi Baa Tena?
 
wokovu wenyewe ni wa muda tu, baada ya kwaresma narudi kwenye fani................

wanasemaga kwaresma tufunge, sasa mimi baada ya kushindwa kufunga msosi, nimeamua kufunga kusema ile neno natoka mwakemwake.............. ndokama unavoona hivyo.................

Mi najua kufunga ni kujinyima kile kitu unachokipenda sana. Mi nimefunga kuvaa jeans. Bia kama kawa, KUDUMISHA MILA mwendo mdundo.
 
".....atakayenikana mbele za watu nami ntamkana mbele ya baba yangu........."
Shaurilo!
naona umeiva kwel kwel kwenye NENO!...😀😀
tatizo jamaa anakulostisha
 
Sita? anawatest wote? Kijana anahitaji maombi.

Charity, mambo? hivi na wewe itabidi uwe shemeji kama alivokuwa ZD eeh? mwisho wa kutest ni wangapi vile? (baseline)
 
Hivi unawajua watu wa Musoma mapanga shaaaaa au unawasikia tuu!
you better be careful

mwambie arudishe upanga wake alani

anayeua kwa upanga naye atakufa kwa upanga.😀
halafu hivi dini imefikaga huko mkoa wa mara kweli?
 
mwambie arudishe upanga wake alani

anayeua kwa upanga naye atakufa kwa upanga.😀
halafu hivi dini imefikaga huko mkoa wa mara kweli?
NDO INAINGIA SASA!...wao sasa hivi kiratiba wako mwaka 1880
 
huku ndiko michongo ilipolala!utakaa na waifu 24/7 mtakula nini?mtakula I LOVE YOU?

Kijana hapo ndipo unaponifurahisha. Wafanyakazi TBL/SBL watapataje mishahara?
Je kina Eliza keep change watazipataje?
Nani atadumisha mila na kina Eliza kama tutakaa nyumbani 24/7?
 
Kijana hapo ndipo unaponifurahisha. Wafanyakazi TBL/SBL watapataje mishahara?
Je kina Eliza keep change watazipataje?
Nani atadumisha mila na kina Eliza kama tutakaa nyumbani 24/7?
....NITAMFAHAMIA WAPI x-pin,kaizer,fidel,de novo et al?hawa wote wanapatikana BAA 24/7.na hapa ndipo michongo ya plot,magari,mila tukutuku et al inapojadiliwa
 
Kwa heshima na taadhima,napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wanajamiiforums wote marafiki,wapwa na mabinamu kwa mema yote na support kubwa mliyonipa katika mchakato wote wa project yangu ya tar 13/02/2010.

pamoja na matatizo makubwa yaliyojitokeza vikiwemo chuki,magomvi na visilani wakati wote wa maandalizi na kuikamilisha project hii ninapenda kuwashukuru zaidi kwa mioyo yenu iliyojaa upendo mkubwa na uvumilivu wa aina yake.Ninaamini nimewakwaza wengi sana,na wengine wameapa kutokurudi jamiiforums...!mimi ni binadamu na si malaika.NAOMBA MNISAMEHE KWA HILO

Nitaomba nitoe shukrani ya pekee kwa zawadi mliyonipa ambayo imegharimu TZSH 744,000.00.AHSANTENI SANA KWA MOYO WENU WA UPENDO.Ukweli unabaki kuwa hiyo ndiyo ilikuwa zawadi pekee kubwa katika harusi yangu.AHSANTENI SANA ,NA TUNAWAPENDA SANA

Nitaomba nitoe shukrani ya pekee kwa michango mliyonitolea kufanikisha kila lililostahili kuipendezesha harusi yangu.jamiiforums imenichangia kiasi cha TSH 1,105,000.00.AHSANTENI SANA!familia ya MR & MRS geoff inawashukuru sana.kwakweli hatuna neno zuri kwa sasa litakalotumika kushukuru zaidi ya AHSANTE

Ninaomba bila kuwakwaza nipewe ruhusa na nitambue pia mchango wa mtu mmoja mmoja KWA KUWATAJA MAJINA.Majina haya hayazingatii kiwango cha mtu alichotoa,NI OUT OF MY FEELINGS

1Sinkala
2Fidel
3Kaizer
4CHrispin
5Nyamayao
6INVISIBLE(NA UONGOZI MZIMA WA JF)
7Next level
8Mwanajamii
9Nguli
10Askofu
11Preta
12Prisca
13Carmel
14Darkcity
15DeNovo
16Pakajimmy
17Triplets
18Firstlady1
19Ziondaughter
20Edson
21JS
22ALL JAMIIFORUMS MEMBERS

I LOVE YOU GUYS!.......
TUNATARAJIA KUTOA MWALIKO ILI MJE KUMLA MBUZI ATAKAYEOKWA KWA HICHI KIFAA MLICHOTUNUNULIA!...stay tuned na muandae matumbo tu😀😀

CHEERS!
MUNGU IBARIKI JF

Thanks Mkuu... cha maana zaidi ni kuboresha mawazo yetu ili kuleta positive change ndani ya forum na jamii kwa ujumla!!! jukwaa hili ni one of happiest forum ndani ya JF...
 
Back
Top Bottom