SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

....NITAMFAHAMIA WAPI x-pin,kaizer,fidel,de novo et al?hawa wote wanapatikana BAA 24/7.na hapa ndipo michongo ya plot,magari,mila tukutuku et al inapojadiliwa

Mi kama unakuja kunitembelea wikiendi wala usipoteze kuja home. Utanikuta kaunta pale Zero nakamata serengeti na Valeur......
 
Noted with Thanks.Bila shaka ni hizi mila anazodumisha za wake sita(Xpin).Unaonaje? nimpige chini?
ENDELEA NAE TU!wanaume bana MAMA YAO NI MMOJA!-wote ni wale wale
 
Charity, mambo? hivi na wewe itabidi uwe shemeji kama alivokuwa ZD eeh? mwisho wa kutest ni wangapi vile? (baseline)

Poa Kaizer.Mazungumzo bado yanaendelea ili kujua kama jina la ushemeji liwepo.
na kuhusu kutest according to Bible baseline ni O(aka ziro,sifuri)
 
Hongera sana Mr and Mrs Geoff... Kwenye Kandafu...usinisahau nitakuja na Tu-tusker twangu twa kopo...kwani za Chupa zimeadimika... TBL Mmmmh I can't u!!!!
 
Unakosea sana.Wapo wanaosali kwa Kakobe.Pale ni mwiko kudumisha mila ,halafu wanajua kucare kama nini.
Hii miwani ya Babu X-pin nayo- imenifanya niisome hii sentensi kwa KUISOMAAA

Haya Charity nami nitafutiepo mmoja!
 
Unakosea sana.Wapo wanaosali kwa Kakobe.Pale ni mwiko kudumisha mila ,halafu wanajua kucare kama nini.
SINA UHAKIKA!wapendwa wana historia mbaya sana ya ngono-zembe,na pia kuna wa-mataifa(kama tunavyoitwa) ambao wako SO DISCIPLINED,NA FAITHFUL KWA WAKE ZAO...!wao hawafuati baibo,WANAHESHIMU KATIBA YA NCHIπŸ˜€πŸ˜€
 
Hongera sana Mr and Mrs Geoff... Kwenye Kandafu...usinisahau nitakuja na Tu-tusker twangu twa kopo...kwani za Chupa zimeadimika... TBL Mmmmh I can't u!!!!
NI-PIEMU kontakti zako
 
Kijana hapo ndipo unaponifurahisha. Wafanyakazi TBL/SBL watapataje mishahara?
Je kina Eliza keep change watazipataje?
Nani atadumisha mila na kina Eliza kama tutakaa nyumbani 24/7?

No comment
 




hongera sana geoff, nakutakia maisha mema na ya raha teleeeee,
lkn kaka geoff na sisi ambo hatukuchanga itakuwaje katika kula huyo mbuzi maana naona hapo umeandika majina. Je nikija na mchango wangu mkononi nitaruhusiwaaaaaaa.hahahaahaha.
 
hongera sana geoff, nakutakia maisha mema na ya raha teleeeee,
lkn kaka geoff na sisi ambo hatukuchanga itakuwaje katika kula huyo mbuzi maana naona hapo umeandika majina. Je nikija na mchango wangu mkononi nitaruhusiwaaaaaaa.hahahaahaha.
mbuzi hausiani kabisa na majina!just pm mimi dhen nitakupa mwongozo...!na wala usifikirie mchango kwa sasa.michango ilikuwa ni kwa harusi AMBAYO IMESHAKWISHA!(ukinipa mchango sasa unataka nioe tena?πŸ˜€)
 
SINA UHAKIKA!wapendwa wana historia mbaya sana ya ngono-zembe,na pia kuna wa-mataifa(kama tunavyoitwa) ambao wako SO DISCIPLINED,NA FAITHFUL KWA WAKE ZAO...!wao hawafuati baibo,WANAHESHIMU KATIBA YA NCHIπŸ˜€πŸ˜€


Yaani hapo ni mwendo wa busara tu mpwa! dah Siongezi kituπŸ˜€
 
Yaani hapo ni mwendo wa busara tu mpwa! dah Siongezi kituπŸ˜€
hehehe!hebu waulize waungwana humu ni wangapi wanaifahamu katiba ya jamuhuri ya muungano wa tz?
 
Poa Kaizer.Mazungumzo bado yanaendelea ili kujua kama jina la ushemeji liwepo.
na kuhusu kutest according to Bible baseline ni O(aka ziro,sifuri)

sasa sisi tunaongozwa na mamlaka mbili,,,,na hii ya nchi inasemaje charity (afu mi nimezoea kweli shemeji) dahπŸ˜€
 
Unakosea sana.Wapo wanaosali kwa Kakobe.Pale ni mwiko kudumisha mila ,halafu wanajua kucare kama nini.

he, jamani umeshawajaribu macare yao?

manake juzi wamewafukuza wajapani wakitaka kutuwekea umeme wa maana, sasa sijui ndo wanavocare?
 
sasa sisi tunaongozwa na mamlaka mbili,,,,na hii ya nchi inasemaje charity (afu mi nimezoea kweli shemeji) dahπŸ˜€

Homeboy.......... Nipo hapa. Am watching your steps!
 
mbuzi hausiani kabisa na majina!just pm mimi dhen nitakupa mwongozo...!na wala usifikirie mchango kwa sasa.michango ilikuwa ni kwa harusi AMBAYO IMESHAKWISHA!(ukinipa mchango sasa unataka nioe tena?πŸ˜€)

dah, mpwa mbona umejieleza sana hapo.......πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…