SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

....NITAMFAHAMIA WAPI x-pin,kaizer,fidel,de novo et al?hawa wote wanapatikana BAA 24/7.na hapa ndipo michongo ya plot,magari,mila tukutuku et al inapojadiliwa

Mi kama unakuja kunitembelea wikiendi wala usipoteze kuja home. Utanikuta kaunta pale Zero nakamata serengeti na Valeur......
 
Noted with Thanks.Bila shaka ni hizi mila anazodumisha za wake sita(Xpin).Unaonaje? nimpige chini?
ENDELEA NAE TU!wanaume bana MAMA YAO NI MMOJA!-wote ni wale wale
 
Charity, mambo? hivi na wewe itabidi uwe shemeji kama alivokuwa ZD eeh? mwisho wa kutest ni wangapi vile? (baseline)

Poa Kaizer.Mazungumzo bado yanaendelea ili kujua kama jina la ushemeji liwepo.
na kuhusu kutest according to Bible baseline ni O(aka ziro,sifuri)
 
Hongera sana Mr and Mrs Geoff... Kwenye Kandafu...usinisahau nitakuja na Tu-tusker twangu twa kopo...kwani za Chupa zimeadimika... TBL Mmmmh I can't u!!!!
 
Unakosea sana.Wapo wanaosali kwa Kakobe.Pale ni mwiko kudumisha mila ,halafu wanajua kucare kama nini.
Hii miwani ya Babu X-pin nayo- imenifanya niisome hii sentensi kwa KUISOMAAA

Haya Charity nami nitafutiepo mmoja!
 
Unakosea sana.Wapo wanaosali kwa Kakobe.Pale ni mwiko kudumisha mila ,halafu wanajua kucare kama nini.
SINA UHAKIKA!wapendwa wana historia mbaya sana ya ngono-zembe,na pia kuna wa-mataifa(kama tunavyoitwa) ambao wako SO DISCIPLINED,NA FAITHFUL KWA WAKE ZAO...!wao hawafuati baibo,WANAHESHIMU KATIBA YA NCHI😀😀
 
Kijana hapo ndipo unaponifurahisha. Wafanyakazi TBL/SBL watapataje mishahara?
Je kina Eliza keep change watazipataje?
Nani atadumisha mila na kina Eliza kama tutakaa nyumbani 24/7?

No comment
 
kwa heshima na taadhima,napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wanajamiiforums wote marafiki,wapwa na mabinamu kwa mema yote na support kubwa mliyonipa katika mchakato wote wa project yangu ya tar 13/02/2010.

pamoja na matatizo makubwa yaliyojitokeza vikiwemo chuki,magomvi na visilani wakati wote wa maandalizi na kuikamilisha project hii ninapenda kuwashukuru zaidi kwa mioyo yenu iliyojaa upendo mkubwa na uvumilivu wa aina yake.ninaamini nimewakwaza wengi sana,na wengine wameapa kutokurudi jamiiforums...!mimi ni binadamu na si malaika.naomba mnisamehe kwa hilo

nitaomba nitoe shukrani ya pekee kwa zawadi mliyonipa ambayo imegharimu tzsh 744,000.00.ahsanteni sana kwa moyo wenu wa upendo.ukweli unabaki kuwa hiyo ndiyo ilikuwa zawadi pekee kubwa katika harusi yangu.ahsanteni sana ,na tunawapenda sana

nitaomba nitoe shukrani ya pekee kwa michango mliyonitolea kufanikisha kila lililostahili kuipendezesha harusi yangu.jamiiforums imenichangia kiasi cha tsh 1,105,000.00.ahsanteni sana!familia ya mr & mrs geoff inawashukuru sana.kwakweli hatuna neno zuri kwa sasa litakalotumika kushukuru zaidi ya ahsante

ninaomba bila kuwakwaza nipewe ruhusa na nitambue pia mchango wa mtu mmoja mmoja kwa kuwataja majina.majina haya hayazingatii kiwango cha mtu alichotoa,ni out of my feelings

1sinkala
2fidel
3kaizer
4chrispin
5nyamayao
6invisible(na uongozi mzima wa jf)
7next level
8mwanajamii
9nguli
10askofu
11preta
12prisca
13carmel
14darkcity
15denovo
16pakajimmy
17triplets
18firstlady1
19ziondaughter
20edson
21js
22all jamiiforums members

i love you guys!.......
tunatarajia kutoa mwaliko ili mje kumla mbuzi atakayeokwa kwa hichi kifaa mlichotununulia!...stay tuned na muandae matumbo tu:d:d

cheers!
mungu ibariki jf




hongera sana geoff, nakutakia maisha mema na ya raha teleeeee,
lkn kaka geoff na sisi ambo hatukuchanga itakuwaje katika kula huyo mbuzi maana naona hapo umeandika majina. Je nikija na mchango wangu mkononi nitaruhusiwaaaaaaa.hahahaahaha.
 
hongera sana geoff, nakutakia maisha mema na ya raha teleeeee,
lkn kaka geoff na sisi ambo hatukuchanga itakuwaje katika kula huyo mbuzi maana naona hapo umeandika majina. Je nikija na mchango wangu mkononi nitaruhusiwaaaaaaa.hahahaahaha.
mbuzi hausiani kabisa na majina!just pm mimi dhen nitakupa mwongozo...!na wala usifikirie mchango kwa sasa.michango ilikuwa ni kwa harusi AMBAYO IMESHAKWISHA!(ukinipa mchango sasa unataka nioe tena?😀)
 
SINA UHAKIKA!wapendwa wana historia mbaya sana ya ngono-zembe,na pia kuna wa-mataifa(kama tunavyoitwa) ambao wako SO DISCIPLINED,NA FAITHFUL KWA WAKE ZAO...!wao hawafuati baibo,WANAHESHIMU KATIBA YA NCHI😀😀


Yaani hapo ni mwendo wa busara tu mpwa! dah Siongezi kitu😀
 
Yaani hapo ni mwendo wa busara tu mpwa! dah Siongezi kitu😀
hehehe!hebu waulize waungwana humu ni wangapi wanaifahamu katiba ya jamuhuri ya muungano wa tz?
 
Poa Kaizer.Mazungumzo bado yanaendelea ili kujua kama jina la ushemeji liwepo.
na kuhusu kutest according to Bible baseline ni O(aka ziro,sifuri)

sasa sisi tunaongozwa na mamlaka mbili,,,,na hii ya nchi inasemaje charity (afu mi nimezoea kweli shemeji) dah😀
 
Unakosea sana.Wapo wanaosali kwa Kakobe.Pale ni mwiko kudumisha mila ,halafu wanajua kucare kama nini.

he, jamani umeshawajaribu macare yao?

manake juzi wamewafukuza wajapani wakitaka kutuwekea umeme wa maana, sasa sijui ndo wanavocare?
 
sasa sisi tunaongozwa na mamlaka mbili,,,,na hii ya nchi inasemaje charity (afu mi nimezoea kweli shemeji) dah😀

Homeboy.......... Nipo hapa. Am watching your steps!
 
mbuzi hausiani kabisa na majina!just pm mimi dhen nitakupa mwongozo...!na wala usifikirie mchango kwa sasa.michango ilikuwa ni kwa harusi AMBAYO IMESHAKWISHA!(ukinipa mchango sasa unataka nioe tena?😀)

dah, mpwa mbona umejieleza sana hapo.......😀
 
Back
Top Bottom